Copy
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 1,021
- 1,258
Hapo hujaweka risk ya waliokufa(Kama ikitokea)Kwa hiyo Hapo unakuwa umetengeneza faida ya tshs 140,000 Kwa kuku 100 Kwa miezi 2 Kwa maana ya wiki 8!!?? Duuuuh kazi ipo ....inalipa kweli!!??
Hapo hujaweka risk ya waliokufa(Kama ikitokea)Kwa hiyo Hapo unakuwa umetengeneza faida ya tshs 140,000 Kwa kuku 100 Kwa miezi 2 Kwa maana ya wiki 8!!?? Duuuuh kazi ipo ....inalipa kweli!!??
Tanbro hawafi,labda uwe mzembe wa kufatilia wakionyesha dalili za kuumwa kuwawahishia dawaHapo hujaweka risk ya waliokufa(Kama ikitokea)
Nimewasikia mtandaoni Ila sijawahi kiwafuga. Ni layers au wa nyama?Tanbro hawafi,labda uwe mzembe wa kufatilia wakionyesha dalili za kuumwa kuwawahishia dawa
Ata ikitokea vinakufa vile nyongeza unazopewa kwa box..eg kwa kuku 203 wanakufa vfaranga wawili mpk unapouza
Be positive
Je na nikitaka kuwafuga kama layers ili wanipatie mayai kwa ajili ya kuuza, ratio yao ya utagaji ikoje na inafaa kwa biashara na je nikiamua kutotolesha mayai yao, kuna uwezekano wa kupata same breed au nitapata breed tofauti?Mh kwa 10,000 labda awe na wiki 12(kutokana na aina ya wateja nlokutana nao)
Wa nyamaNimewasikia mtandaoni Ila sijawahi kiwafuga. Ni layers au wa nyama?
Sina data zozote kuhusu layersJe na nikitaka kuwafuga kama layers ili wanipatie mayai kwa ajili ya kuuza, ratio yao ya utagaji ikoje na inafaa kwa biashara na je nikiamua kutotolesha mayai yao, kuna uwezekano wa kupata same breed au nitapata breed tofauti?
Kwa nini usitengeneze chakula wewe ? Itakupa faida kubwa sanaMimi nafuga Tanbro,
Ambao kuku 100 wanakula mifuko 6 kwa wiki 8(mpaka unapowauza) so zidisha hapo
Nalisha mfuko tu ndio mwanzo mwsho
Nilijaribu kuwachangania walikua wepesi kama karatasi so nimestick kulisha cha dukani peke ake
Kutokana na gharama za chakula kupanda...maximum Tanbro 100 nafuga kwa 650,000