benja
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 318
- 196
Wadau nina mtaji wa Tsh 3,000,000 na ninataka nianzishe duka la kuuza vipuri vya magari. Ninapenda biashara hii kwa sababu mimi ni mdau wa magari sana.
Naombeni ushauri nianze na bidhaa zipi.
NB; Eneo ambalo nitaanzisha tayari kuna garage 2 za kutengeneza magari
Asanteni
Naombeni ushauri nianze na bidhaa zipi.
NB; Eneo ambalo nitaanzisha tayari kuna garage 2 za kutengeneza magari
Asanteni