Panzi Mbishi
JF-Expert Member
- Mar 8, 2021
- 2,053
- 2,667
- Thread starter
- #341
Nimepokea ushauriMKUU makosa unayo wewe,
Kwanza unamatumizi mabaya ya pesa,asingekuwa mkeo usingejenga.
Pili hujiamini, unamsikiliza zaidi mkeo,ndio maana uko tayr kumpa uchumi wote. Na wewe kuhangaika mfukoni empty.
Tatu muoga,kuishi bila yeye kwa kuwa hata wewe unaamini bila ushiriki wake hutoboi.
Rekebisha hayo, afu mwambie kuanzia sasa utakusanya wewe hizo pesa. Yaani zitakuwa chini yako. Na uzifanyie maendeleo kwelikweli. Usimpe uchumi wote mwanamke,timiza majukumu yako. Na wewe ndio kauli ya mwisho hapo nyumbani,ila jitahidi kuwa na busara. Akishindwa hayo mwache.