richad
Member
- Jan 13, 2019
- 14
- 3
Jamani poleni na majukumu natumaini muwazima wa afya naomben ushauri kuhusu swala la kurudia mtihani was kidato cha nne nataka nirudie masomo ya science ambayo awali sikuyafanya je inawezekana naombeni msaada wenu, matokeo yangu ya mwanzo yalikuwa hivi:
Language-D
History-C
Geography-D
Kiswahili-D
Biology-D
Civics-D
B/math-F
Sasa natal nirudie mtihani wangu wa kidato cha nne mwakani kwenye masomo ya science je inawezekana wapendwa nisaidieni kimawazo kuhusu hili
Language-D
History-C
Geography-D
Kiswahili-D
Biology-D
Civics-D
B/math-F
Sasa natal nirudie mtihani wangu wa kidato cha nne mwakani kwenye masomo ya science je inawezekana wapendwa nisaidieni kimawazo kuhusu hili