kjembe
Member
- Jan 9, 2015
- 45
- 29
Mimi ni mwanaume 29 (nimeoa), kwa sasa nipo Dar, miezi mitatu Iliyopita nilianza kujisikia vibaya hasa kupata maumivu ya kiuno na viungo vyote vya mwili, niliamua kwenda hospital moja hapa Dar baada ya kuchek nikaambiwa nina vidonda vya tumbo(H-Pylori) na nikaandikiwa dawa aina ya Omeprazole na flagly baadaye ndiyo maumivu yalizidi, basi nikarudi tena nikapewa H Pylori Kit mbili nikazitumia lakini bado nikawa napata maumivu ya tumbo na kiuno kiasi hata kuamka najishauri hasa alfajiri.
Baadaye nikajikuta nimechanganya dawa za asili na za dukani lakini wapi, nikakata tamaa. Baada ya wiki mbili mbele niliamua kwenda Kanisani kwa ajili ya maombi na baadaye nikarudi nikaendelea kutumia Omeprazole baada ya daktari kunishauri hivyo. Baada ya miezi miwili nilipima na kuambiwa H-Pyroli ni Negative.
Sikuamini nikakaa tena wiki mbili nimepima nikapima tena nikakuta ni Neg. Cha kushangaza napata maumivu makali sana ya kiuno na juzi nimepima nikaambiwa nina U.T.I 80 basi nikaamua kuchoma sindano za Powerseff mbili na kumeza dawa za AZUMA ambazo nimemaliza jana usiku ingawa bado maumivu ya kiuno yananitesa.
Hospitali wanasema niendelee kunywa panadol /Tramadol lakini najiuliza sana hili tatizo ni nini?
Msaada wenu wataalamu, hapa nilipo nina maumivu ya kiuno hatari hata weekend naiona haifai.
Nawasilisha.
Baadaye nikajikuta nimechanganya dawa za asili na za dukani lakini wapi, nikakata tamaa. Baada ya wiki mbili mbele niliamua kwenda Kanisani kwa ajili ya maombi na baadaye nikarudi nikaendelea kutumia Omeprazole baada ya daktari kunishauri hivyo. Baada ya miezi miwili nilipima na kuambiwa H-Pyroli ni Negative.
Sikuamini nikakaa tena wiki mbili nimepima nikapima tena nikakuta ni Neg. Cha kushangaza napata maumivu makali sana ya kiuno na juzi nimepima nikaambiwa nina U.T.I 80 basi nikaamua kuchoma sindano za Powerseff mbili na kumeza dawa za AZUMA ambazo nimemaliza jana usiku ingawa bado maumivu ya kiuno yananitesa.
Hospitali wanasema niendelee kunywa panadol /Tramadol lakini najiuliza sana hili tatizo ni nini?
Msaada wenu wataalamu, hapa nilipo nina maumivu ya kiuno hatari hata weekend naiona haifai.
Nawasilisha.