Hamissi Hamza Jr
Member
- Apr 16, 2020
- 18
- 26
Ningependa tubadilishane mawazo, ushauri na uzoefu kwa sisi wajasiriamali na wafanyabishara jinsi ya ku balance biashara na mapenzi ili kutoweza kutoka katika barabara ya kutafuta mafanikio.
Hasa kutotoka katika njia ya biashara kwa kuharibiwa na mapenzi.
Naomba kaka, dada, mama na baba zetu mtupe muongozo sisi vijana ambao ndio tumeanza kujenga future zetu.
Asante.
Hasa kutotoka katika njia ya biashara kwa kuharibiwa na mapenzi.
Naomba kaka, dada, mama na baba zetu mtupe muongozo sisi vijana ambao ndio tumeanza kujenga future zetu.
Asante.