lindunduru
JF-Expert Member
- Aug 2, 2015
- 392
- 551
Nina mdogo wangu kaishi na mke wake kwa miaka kama mitano na mpaka mwezi march mwaka huu walikiwa pamoja.mola kawajalia mtoto mmoja.
Huyu shemeji yangu alimuaga dogo kuwa anaenda kusalimia kwao nq kuwasaidia kuvuna Mpunga.
Mwezi mmoja baadaye alimtumia taarifa dogo kuwa hana mpango wa kurudi tena kwake kwa sababu ameichoka ndoa,na kwamba anataka kuishi ki bachela.
Pamoja kuwa huko aliolewa na mwanaume mwingine akiwa mke wa pili anamuomba dogo kuwa anataka kurudi tena kwenye ndoa.
Nimshauri vipi?
Huyu shemeji yangu alimuaga dogo kuwa anaenda kusalimia kwao nq kuwasaidia kuvuna Mpunga.
Mwezi mmoja baadaye alimtumia taarifa dogo kuwa hana mpango wa kurudi tena kwake kwa sababu ameichoka ndoa,na kwamba anataka kuishi ki bachela.
Pamoja kuwa huko aliolewa na mwanaume mwingine akiwa mke wa pili anamuomba dogo kuwa anataka kurudi tena kwenye ndoa.
Nimshauri vipi?