Naomba ushauri na tiba ya tumbo lenye dalili hizi

Status
Not open for further replies.
Tatizo la kufunga Choo .....
tafuta ukwaju, loweka au chemsha, kamua utoe mbegu zake, hakikisha unakamua juisi yote ile nzito kabisa kisha kunywa ile juisi yake kila siku angalau mara tatu Kwa kutwa na iwe concentrated haswa ....Choo utakipata laini kabisa bila tatizo.
Au ukwaju juisi mix na tende juisi ( unatoa mbegu kisha unaloweka na unasaga kwenye blender), mix na papai bivu saga changanya vyote vitatu uwe unakunywa smoothie yake daily, tatizo la kukosa Choo utalisikia Kwa Jirani...kisha tuletee mrejesho.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umesahau kumshauri wakati anakunywa inabidi awe karibu na choo.Hiyo mixer acha kabisa.
 
Kuna mtu kaniambia hii ni ngiri,ameahidi kunitafutia dawa,nikifanikiwa nitakujulisha mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Dawa za kienyeji za Ngiri zipo nyingi sana, ila uzungu sometimes unatuharibu kufanya tuzidharau.

Moja hii: chukua mizizi ya Kibambara, mizizi ya Muhina, mizizi ya Tunguja na Mserere, chemsha halafu utakuwa unakunywa kutwa x2 hapo Ngiri itakuwa imepata dawa yake.
 
Dawa za kienyeji za Ngiri zipo nyingi sana, ila uzungu sometimes unatuharibu kufanya tuzidharau.

Moja hii: chukua mizizi ya Kibambara, mizizi ya Muhina, mizizi ya Tunguja na Mserere, chemsha halafu utakuwa unakunywa kutwa x2 hapo Ngiri itakuwa imepata dawa yake.[/OTE]

Kibambara,mserere,muhina na tunguja majina yote ni mapya kwangu hata ndo siyajui kabisa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom