bwegebwege
JF-Expert Member
- Jul 30, 2010
- 1,068
- 184
Waheshimiwa habarini za kazi!!
Baada ya kutumika serikalini n akwenye mashirika mengine nimeweka mkakati wa kujiajiri ifikapo 2015 na nimedhamiria kujikita katika KILIMO NA UFUGAJI!
KILIMO
Katika kilimo nataka kujishughulisha na mazao yafuatayo
1. Mahindi na Mpunga
2. Mihogo
3. Matunda ( Maembe, Mananasi, Mapapai)
4. Pilipili (Hoho, Pilipili Kali (Pilipili ndefu na pilipili mbuzi)
5. Mboga (Nyanya, Vitunguu, Carrots)
6. Uyoga
UFUGAJI
Katika sualal la ufugaji natarajia kujishughulisha na ufugaji wa:-
1. Ngombe wa Maziwa
2. Mbuzi wa Maziwa (wanaozaa mapacha)
3. Nguruwe
4. Kuku wa kisasa (Nyama na Mayai)
5. Kuku wa Kienyeji
MAANDALIZI
Mpango wangu ni kuanza operations ifikapo January 2015, lakini nimejiwekea malengo ya kuanza maandalizi (mfano kutafuta mshamba, kufanya utafiti, kuandaa zana na maeneo ya kazi, kuimarisha mtaji etc) kuanzia January 2013 hadi Dec 2014.
Kwa sasa nimeanza kukusanya taarifa muhimu na "kujipanga" kwa ajili ya utekelezaji huo. N akwa kuwa nipo katika mchakato huu naomba msaada wa mawazo kwa wakle ambao tayari wapo kwenye shughuli za namna hii (iwe ni taarifa za mahitaji, wapi pa kupata msaada wa kitaalamu, contacts za wahusika au hata kama kuna mtu Mwenye documented project sample ya related project anisaidie ili nianze kujipanga). Najiandaa pia kufanya ziara kati ya March na May 2013 kenye maeneo mbalimbali ambako kunafanyika miradi kama hii (miradi midogo na ya saizi ya kati) ya watu mmoja mmoja au vikundi ilki kujipa elimu kwa vitendo!! Naomba wenye uzoefu wawasisiane name kwa email ya SELUDM2012@gmail.com au wani-PM humu tuweze kujuzana! Watakaotoa maoni kupitia thread hii nao pia nitawashukuru! Ahasanteni
Baada ya kutumika serikalini n akwenye mashirika mengine nimeweka mkakati wa kujiajiri ifikapo 2015 na nimedhamiria kujikita katika KILIMO NA UFUGAJI!
KILIMO
Katika kilimo nataka kujishughulisha na mazao yafuatayo
1. Mahindi na Mpunga
2. Mihogo
3. Matunda ( Maembe, Mananasi, Mapapai)
4. Pilipili (Hoho, Pilipili Kali (Pilipili ndefu na pilipili mbuzi)
5. Mboga (Nyanya, Vitunguu, Carrots)
6. Uyoga
UFUGAJI
Katika sualal la ufugaji natarajia kujishughulisha na ufugaji wa:-
1. Ngombe wa Maziwa
2. Mbuzi wa Maziwa (wanaozaa mapacha)
3. Nguruwe
4. Kuku wa kisasa (Nyama na Mayai)
5. Kuku wa Kienyeji
MAANDALIZI
Mpango wangu ni kuanza operations ifikapo January 2015, lakini nimejiwekea malengo ya kuanza maandalizi (mfano kutafuta mshamba, kufanya utafiti, kuandaa zana na maeneo ya kazi, kuimarisha mtaji etc) kuanzia January 2013 hadi Dec 2014.
Kwa sasa nimeanza kukusanya taarifa muhimu na "kujipanga" kwa ajili ya utekelezaji huo. N akwa kuwa nipo katika mchakato huu naomba msaada wa mawazo kwa wakle ambao tayari wapo kwenye shughuli za namna hii (iwe ni taarifa za mahitaji, wapi pa kupata msaada wa kitaalamu, contacts za wahusika au hata kama kuna mtu Mwenye documented project sample ya related project anisaidie ili nianze kujipanga). Najiandaa pia kufanya ziara kati ya March na May 2013 kenye maeneo mbalimbali ambako kunafanyika miradi kama hii (miradi midogo na ya saizi ya kati) ya watu mmoja mmoja au vikundi ilki kujipa elimu kwa vitendo!! Naomba wenye uzoefu wawasisiane name kwa email ya SELUDM2012@gmail.com au wani-PM humu tuweze kujuzana! Watakaotoa maoni kupitia thread hii nao pia nitawashukuru! Ahasanteni