Kazi ya kizazi cha hapa zero tuMkikua mtaacha mtaacha huko kutegeana mana naona mnategeana.
Lakini pia sio mbaya endapo utamuweka wazi na yeye akapata kujua ili apate kuacha hiyo tabia.
Upo darasa la ngapi kijana, soma kwanzaNipo kwenye mahusiano na msichana moja ambae tunasoma darasa moja, ila sijui kama ananipenda kweli? Maana hanipigii simu wala SMS, mpaka nimtafute mm, ila nikiwa nae ananionesha upendo wa hali ya juu
Hata vitu vya kuambiana huko wakaelewana bado mtu anaanzisha uzi apate vya kwenda kumwambia.Kazi ya kizazi cha hapa zero tu
umr wako ni miaka mingapi?? na wa mpnz wako,, kabla cjashauriNipo kwenye mahusiano na msichana moja ambae tunasoma darasa moja, ila sijui kama ananipenda kweli? Maana hanipigii simu wala SMS, mpaka nimtafute mm, ila nikiwa nae ananionesha upendo wa hali ya juu