Naomba ushauri: Mpangaji wangu msumbufu kulipa kodi nataka nifungie vitu vyake

Kama ana lewa au anakaanga maini na firigisi hizo zitakua dharau chujua hatu ila kama ila kama anakula mlo mmoja au miwili kwa siku msamehe
 
Unayomdai msamehe. Achana nayo. Ila tu mwambie ahame mpe hata wiki aondoke
Atataka notisi ya mwezi sijui mitatu, hao jamaa wanakuwaga sugu halafu wazoefu wa dhulma, na sheria wanazijua...jichanganye tu ndio utawajua..
 
Ni heri tu ahame atafute mpangaji mwengine amlipe kodi.
Nakumbuka nishakuwaga na Mpangaji akapata changamoto ya ugonjwa alikonda jamaa hadi kitaa wakawa wananiambia yule mpangaji wako ameungua.
Jamaa alichoka kazi zake zikakwama mke wake akaondoka na vitu Kama vyote akaenda kwao.
Kodi yake ilipoisha akawa hana uwezo wa kulipa, ukapita mwezi wa 1,2,3 ananipiga sound ila nilikuwa na Mimi namuonea huruma flani kodi yake ilikuwa laki 2 kwa mwezi.
Nikaona isiwe tabu nikampeleka kwa Mtendaji wa Mtaa, akaitwa kwa barua tukaenda jamaa akasema hayupo vizuri na pia ni mgonjwa ,kaenda hospital I ugonjwa hauonekani.
Dah unaambiwa alikuwa anatia huruma.
Mtendaji akamwandika notisi ya mwezi ahame na anilipe kodi anazodaiwa au alipe kodi Kama kawaida ya miezi 6.
Mwezi wa notisi ukaisha jamaa hana kitu nikaenda kumripoti kwa Mtendaji ,Mtendaji mwenyewe akawa anamuonea huruma jinsi anavyoumwa yaani we acha .
Dunia Ina majaribu Sana, Mtendaji anamkoromea jamaa anamwambia kesho nakuja na mgambo kukutoa kwenye hiyo nyumba jamaa anabaki analia , anaambiwa haya nenda kesho ujiandae tunakuja kukutoa.
Mtendaji ananiambia nibaki ,Mtendaji ananiambia nimsikilizie jamaa ni mgonjwa akija kumtoa anaweza asieleweke na jamii. Na Mimi nikawa namkubalia tumsikilizie ikawa ndio hivyo had ikafika miezi 4 Mtendaji anasita kumtoa.
Kuna siku na hasira zangu nikapiga zangu konyagi za kutosha nikasema wacha nikamtoe yule Mpangaji Mimi mwenyewe Mtendaji anazingua.
Nikaenda pale kwangu had I anapoishi nasikia ndani jamaa anakohoa kugonga anauliza wewe nani namjibu mwenyewe nyumba ananiambia ingia ndani.
Dah kuingia ndani nikakuta jamaa alikuwa anatapika kishenzi ndani ya ndoo nyumba chafu jamaa anakitanda nagodoro tu nikamwambia we jamaa unataka kufia hapa kwangu nini. Halafu na kodi hulipi unataka kunipa mzigo nini.
Unaambiwa jamaa akawa analia akaniomba nauli aende kijijini kwao.
Nikashikwa na huruma nikampa elfu hamsini nikamwambia na kodi yangu nimekusamehe .
Kweli jamaa kesho yake tu akatoa vitu vyake akataka kuviuza akakosa mteja akasepa akaviacha nje.
Ikabidi niviweke stoo vitu vyake nikapiga rangi nyumba nikapangisha mtu mwingine.
Baada ya Kama mwaka jamaa alikuja kunisalimia Bahati nzuri akanikuta alikuwa amenawiri amepona yupo fresh,
Aliniambia alivyokwenda kijijini kwao ikaonekana alikuwa ametupiwa majini na ndugu yake hivyo wakamfanyia matibabu akapona.
Jamaa alinishukuru Sana akaniambia amekuja kunilipa kodi niliyokuwa na mdai Yaani bila kutegemea nikala laki nane.
jamaa hadI Leo rafiki yangu.
Kwenye haya maisha kuna watu wanapitia mitihani mikubwa Sana si vyema kumcheka,kumdharau au kumnyanyasa mtu ni swala la kumshukuru Mungu kila wakati Kama amekujalia kuepukana na dhiki ,karaha, na magonjwa.
Asante kwa ushuhuda huu...
 
Usije ukampangisha mtu asiye na kazi ya kueleweka.
Machinga, mama ntilie na wabangaizaji wote iwe no go zones.
Nilitaka kusahau.
Usije ukampangisha policcm au mmakonde au muha au mpemba.
 
Kama uwezo hana mzee kua muungwana maisha yanabadilika sana ukute anawaza namna ya kumaliza deni lako ingekua uwezo upoo labda hapo ungewaza ufanye nini
Ukute pia alikuwa mpangaji wake kitambo tu nahakuwa anasumbua malipo ya kodi, huwenda ikawa mpangaji wake upepo wa hela ndio umekaa vibaya tu
 
Ni heri tu ahame atafute mpangaji mwengine amlipe kodi.
Nakumbuka nishakuwaga na Mpangaji akapata changamoto ya ugonjwa alikonda jamaa hadi kitaa wakawa wananiambia yule mpangaji wako ameungua.
Jamaa alichoka kazi zake zikakwama mke wake akaondoka na vitu Kama vyote akaenda kwao.
Kodi yake ilipoisha akawa hana uwezo wa kulipa, ukapita mwezi wa 1,2,3 ananipiga sound ila nilikuwa na Mimi namuonea huruma flani kodi yake ilikuwa laki 2 kwa mwezi.
Nikaona isiwe tabu nikampeleka kwa Mtendaji wa Mtaa, akaitwa kwa barua tukaenda jamaa akasema hayupo vizuri na pia ni mgonjwa ,kaenda hospital I ugonjwa hauonekani.
Dah unaambiwa alikuwa anatia huruma.
Mtendaji akamwandika notisi ya mwezi ahame na anilipe kodi anazodaiwa au alipe kodi Kama kawaida ya miezi 6.
Mwezi wa notisi ukaisha jamaa hana kitu nikaenda kumripoti kwa Mtendaji ,Mtendaji mwenyewe akawa anamuonea huruma jinsi anavyoumwa yaani we acha .
Dunia Ina majaribu Sana, Mtendaji anamkoromea jamaa anamwambia kesho nakuja na mgambo kukutoa kwenye hiyo nyumba jamaa anabaki analia , anaambiwa haya nenda kesho ujiandae tunakuja kukutoa.
Mtendaji ananiambia nibaki ,Mtendaji ananiambia nimsikilizie jamaa ni mgonjwa akija kumtoa anaweza asieleweke na jamii. Na Mimi nikawa namkubalia tumsikilizie ikawa ndio hivyo had ikafika miezi 4 Mtendaji anasita kumtoa.
Kuna siku na hasira zangu nikapiga zangu konyagi za kutosha nikasema wacha nikamtoe yule Mpangaji Mimi mwenyewe Mtendaji anazingua.
Nikaenda pale kwangu had I anapoishi nasikia ndani jamaa anakohoa kugonga anauliza wewe nani namjibu mwenyewe nyumba ananiambia ingia ndani.
Dah kuingia ndani nikakuta jamaa alikuwa anatapika kishenzi ndani ya ndoo nyumba chafu jamaa anakitanda nagodoro tu nikamwambia we jamaa unataka kufia hapa kwangu nini. Halafu na kodi hulipi unataka kunipa mzigo nini.
Unaambiwa jamaa akawa analia akaniomba nauli aende kijijini kwao.
Nikashikwa na huruma nikampa elfu hamsini nikamwambia na kodi yangu nimekusamehe .
Kweli jamaa kesho yake tu akatoa vitu vyake akataka kuviuza akakosa mteja akasepa akaviacha nje.
Ikabidi niviweke stoo vitu vyake nikapiga rangi nyumba nikapangisha mtu mwingine.
Baada ya Kama mwaka jamaa alikuja kunisalimia Bahati nzuri akanikuta alikuwa amenawiri amepona yupo fresh,
Aliniambia alivyokwenda kijijini kwao ikaonekana alikuwa ametupiwa majini na ndugu yake hivyo wakamfanyia matibabu akapona.
Jamaa alinishukuru Sana akaniambia amekuja kunilipa kodi niliyokuwa na mdai Yaani bila kutegemea nikala laki nane.
jamaa hadI Leo rafiki yangu.
Kwenye haya maisha kuna watu wanapitia mitihani mikubwa Sana si vyema kumcheka,kumdharau au kumnyanyasa mtu ni swala la kumshukuru Mungu kila wakati Kama amekujalia kuepukana na dhiki ,karaha, na magonjwa.
Somo zuri sana
 
Wakuu habari:

Unajua hizi nyumba za kupangisha zina matatizo sana, mtu umetumia pesa kibao kuwekeza, bado tena unakuja kupangisha majitu ambayo hayajielewi.

Ni hivi, kuna mpangaji wangu now anakaribia miaka miwili kama na nusu kwenye mabanda yangu, sasa huyu tangu kipindi cha Corona ya kwanza hile mambo yake hayajakaa sawa, nilikuwa namdai milioni, alilipa laki nne Bado laki sita, sasa saundi zimekuwa nyingi, mara subiri kidogo, mara week ijayo, mara mwisho wa mwezi.

Sasa nilichofikiria huyu bwana mdogo labda nikuzuia vitu vyake vyote, na kufunga nyumba Hadi hapo atakaponilipa pesa yangu.

Sasa je nikiwa na mjumbe siinatosha kiushaidi kwenda kumtimua hili nifunge nyumba Hadi atakapolipa deni?

Au wazee wenzangu mwashaurije katika hili, maana sitaki kutumia ubabe sheria itanibana
Fanya kazi acha kutegemea nyumba ya urithi
 
Wakuu habari:

Unajua hizi nyumba za kupangisha zina matatizo sana, mtu umetumia pesa kibao kuwekeza, bado tena unakuja kupangisha majitu ambayo hayajielewi.

Ni hivi, kuna mpangaji wangu now anakaribia miaka miwili kama na nusu kwenye mabanda yangu, sasa huyu tangu kipindi cha Corona ya kwanza hile mambo yake hayajakaa sawa, nilikuwa namdai milioni, alilipa laki nne Bado laki sita, sasa saundi zimekuwa nyingi, mara subiri kidogo, mara week ijayo, mara mwisho wa mwezi.

Sasa nilichofikiria huyu bwana mdogo labda nikuzuia vitu vyake vyote, na kufunga nyumba Hadi hapo atakaponilipa pesa yangu.

Sasa je nikiwa na mjumbe siinatosha kiushaidi kwenda kumtimua hili nifunge nyumba Hadi atakapolipa deni?

Au wazee wenzangu mwashaurije katika hili, maana sitaki kutumia ubabe sheria itanibana
Nenda kwa mwanasheria amwandikie notisi ya kuondoka kwenye nyumba yàko kwa kigezo labda unataka kufanya ukarabati mkubwa. Nadhani kodi ya mwezi mmoja itabidi umwachie wakati akitafuta nyumba. Ila na mwanasheria naye utampa ada kidogo. Niliwahi saidika kwa namna hiyo
 
Busara ni kumpa notes alipe ama aondoke nyumba iwe wazi aje mwingine,ukiwa mwenye nyumba ndani ya miezi3 ukiona mtu hajalipa Basi ni vyema ukamtaka muachane tu maana hata Maisha hubadilika anaweza tafuta nyumba atayoimudu kwa muda huu, iwe ni nje ya mji kabisa ambazo kodi ni nafuu sana au maeneo kama mabibo, Manzese, Tandale ,kigogo,buguruni ama Mbagala anaweza pata chumba na sebule KWA 40000 tu na akajihifadhi na kujipanga upya.

Nenda KWA step pia maana naye ni binadamu na anahaki zake,ukikosea tu anaweza kukubadilikia na kukuhamza maana mtu akishmbuliwa na Tatzo la kodi hupatwa na stress sana,hata me pia
Fasiliteta... Mood yako nmeielewa boss, kweli maisha hubadirika sidhan kama huyo mpangaji anafanya ubabe kutolipa kodi pengine tu ni hali ya uchumi haijawa OK Ila hataki tu kuwa wazi
 
Back
Top Bottom