Naomba ushauri Mke wangu kaenda kupima UKIMWI vipimo vimeonesha majibu tofauti

Af pia mtalamu naomba some case number 23 huyu af nisaidie maelezo kdg khs huyu mama yetu ambye aliishia 2016 baada y kuanza kutumia ARVs miaka kadhaa iliyopita

Soma mwenyewe af njoo na jambo
Mtaalamu hapa naomba niulize jambo...

Umetoa ushauri wa kitaalamu sana lkn mwisho wa siku umekuja kuishia na swala la kumshauri huyo dada atumie ARVs na mimi hapa nakuaga na maswali mengi sana ambyo cyo yanatokana na nimesoma wap au kuskia ni kutokana na experience ya kuona kwa macho yangu kabsa kwa zaid y watu wa4..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Af pia mtalamu naomba some case number 23 huyu af nisaidie maelezo kdg khs huyu mama yetu ambye aliishia 2016 baada y kuanza kutumia ARVs miaka kadhaa iliyopita

Soma mwenyewe af njoo na jambo

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza naomba utambue kua Athar za HIV zinategemea na kinga ya MTU husika, yaan ambavyo MTU X anarespond dhid ya HIV ni tofauti na atakavyorespond MTU Y .

Ndio maana kuna MTU anapata Leo HIV, wiki ijayo anapata dalili za maambukizi. Zinapotea...alafu miaka miwili ijayo Zinarudi tena kama AIDS .....

Lkn mwingine anapata Leo, haoni dalili zozote, sanasana tezi ndo zinakua zimemvimba muda mrefu yaan Persistent Generalized Lyphadenopathy alafu anakaaa miaka mpaka 10 wengine wanaenda mpaka ishirini hapa Inategemea na Life style yake , yaan hajijui kama anamaambukizi lkn ni MTU wa MAZOEZI, vyakula bora anapata ,sio mlevi n.k , huyu japokua Virus vinazaliana kwake lkn anaisaidia kinga ya mwili kucompensate rate ya Viral replication yaan uku virus vinazalishwa..uku kinga inazidi kuzalisha antibodies sababu ya vyakula naivo kinga inakua juu .( UKUMBUKE HATA MSOSI KAMA HUPATI ,KINGA INASHUKA. KINGA KUSHUKA MAANA YAKE, KIWANGO CHA SELI HAI NYEUPE ZA DAMU KWA ML KINAKUA KIDOGO )

Narudi kwenye Case ya Mdogo Wetu.

Kazaliwa 1994 na maambukizi ...( watu wanaozaliwa na maambukizi. ,huwa WA nakuja kudevelop kinga imara tofauti na Watu wanaopata maambukizi ukubwani) lkn hiyo haimanishi HIV ameondoka. Sasa hawa anaweza kwenda mpaka miaka 15--20 bila hata kuwahi kutumia ARVs LAKINI Akiwa anazingatia Lishe bora na mazoezi , nakufata kanuni zote za Afya kupitia mifumo mbali mbali ya mwili ..MF. .kulala ndan ya net. Kutokunywa pombe, kutojihusisha NA ngono nzembe n.k .

Sasa huyu mdogo Wetu kwanza alikataa kutumia, hii niwazi pia aliendelea kuteswa na mawazo.. MAWAZO yanashusha kinga ya mwili. Lkn pia sijui maisha ya nyumban kwa ujumla yalikuaje .

Ndio maana unaona 2003 akaagua ... Hapa akapata huduma za kawaida. Kula n.k akajisikia sawa, 2005 ikarudi tena ndo unaona anaanza kutumia Dawa.

Yaan anaanza kutumia Dawa akiwa namiaka 12 .

Bahati mbaya anatutoka mwaka 2016 , japo alikua ktk utumiaji ...miaka 11 baadae toka atumie Dawa. . swali lako nikwann alitutoka wakat alikua kwa Dawa?

Hapa lazima tuangalia sababu ambatanifu ... Nakoswa maelezo mazuri sababu sijui aina ya maisha alokua anapitia mdogo , lkn pia ni madhara ya DAWA, ndio maana kwa nchi za wenzetu kabla ya kutumia Dawa, unapimwa Uwezo wa kikazi wa INI, FIGO, MAPAFU ,MOYO n.k ...
ARVs zinaathar ktk Figo, Ini , Mapafu ... Kwaiyo basi, MATUMIZI YA HIZI DAWA KWA MUDA MREFU HUPELEKEA MATATIZO YA FIGO, INI, MOYO,MAPAFU N.K
Kuna mahali nilsema Hata hizi ARVs zikijitahidi sana Zinakusogezea miaka 25 tu ivi. Nakama MTU ananipenda nakujithamin basi kwa Neema ya Mungu anaweza kusogea zaidi ya hapo.

Lkn hii haina maana zisitolewe, kwasababu zisipotolewa, urefu wa maisha unapungua mpaka kufikia miaka 2--10 ,tofauti ya hapo ni miaka inayotegemea Maisha ya MTU mwenyewe.

CHAKULA NI MUHIMU KWASABABU NDICHO KINAENDA KUPUNGUZA MATATIZO AMBAYO YANALETWA NA DAWA HIZI.

shida unakuta mtu anatumia, lkn mchapaji wa Pombe kupindukia!

Kwa ivo niseme, alitutoka sababu ya muunganiko huu
--Madhara ya Dawa
---Aina ya Maisha kwa ujumla ambayo aliyapata kwa familia najamii
----alichelewa kuanza naivo kuja kuanza wakati ambao HIV keshavuruga sana , ivo mwili ulikua nakazi ya ziada kupambana nakurudi
----- kinga yake haikua inamsupport kuchelewa kuanza Dawa.

Ndio maana siku izi, mtoto aliyezaliwa na mama muathirika, huwa tunampiga Dawa.

Mungu amlaze mahali Pema peponi.
 
Daah nimeridhika mkuu wa asilimia zote

nilichokipenda zaid kutoka kwako ni kwmba upo open kwa kila jambo yan unaelezea faida na hasara za kila jambo maana kuna watu tunafanya nao mijadala anazitetea tuuuuu muda wote ukimuingiza kwny mijadala y side effects zake anakataa yeye anazitetea yaan as if zinazalishwa na baba yake mzazi kwmb zinampa ela af unakuta huyo ni MD af anashindwa kuwa muwazi kikubwa zaid ukimwbia khs side effects ataishia kukujibu kila dawa ina side effects, ukimpa experience y matukio huku mtaan bac mtaishia kubishana

Upande wako umenielezea vizuri kwann mtu atumia ARVs

Asipotumia faida zake na hasara zake

Kwa mtu ambye anatumia Alternatives yan ndio km vile Lishe, mazoezi na vitu vingne umenpa faida na hasara zake ingawa kuna wajinga huwa wanapnga hilo yeye anadai ARVs tu ndio kila kitu

Elimu yako ni kubwa sana nmekubali na nashukuru sana kwa kutupa hii kitu itawasaidia wasomaji wengne pia nadhan

THANX U
Kwanza naomba utambue kua Athar za HIV zinategemea na kinga ya MTU husika, yaan ambavyo MTU X anarespond dhid ya HIV ni tofauti na atakavyorespond MTU Y .

Ndio maana kuna MTU anapata Leo HIV, wiki ijayo anapata dalili za maambukizi. Zinapotea...alafu miaka miwili ijayo Zinarudi tena kama AIDS .....

Lkn mwingine anapata Leo, haoni dalili zozote, sanasana tezi ndo zinakua zimemvimba muda mrefu yaan Persistent Generalized Lyphadenopathy alafu anakaaa miaka mpaka 10 wengine wanaenda mpaka ishirini hapa Inategemea na Life style yake , yaan hajijui kama anamaambukizi lkn ni MTU wa MAZOEZI, vyakula bora anapata ,sio mlevi n.k , huyu japokua Virus vinazaliana kwake lkn anaisaidia kinga ya mwili kucompensate rate ya Viral replication yaan uku virus vinazalishwa..uku kinga inazidi kuzalisha antibodies sababu ya vyakula naivo kinga inakua juu .( UKUMBUKE HATA MSOSI KAMA HUPATI ,KINGA INASHUKA. KINGA KUSHUKA MAANA YAKE, KIWANGO CHA SELI HAI NYEUPE ZA DAMU KWA ML KINAKUA KIDOGO )


Narudi kwenye Case ya Mdogo Wetu.

Kazaliwa 1994 na maambukizi ...( watu wanaozaliwa na maambukizi. ,huwa WA nakuja kudevelop kinga imara tofauti na Watu wanaopata maambukizi ukubwani) lkn hiyo haimanishi HIV ameondoka. Sasa hawa anaweza kwenda mpaka miaka 15--20 bila hata kuwahi kutumia ARVs LAKINI Akiwa anazingatia Lishe bora na mazoezi , nakufata kanuni zote za Afya kupitia mifumo mbali mbali ya mwili ..MF. .kulala ndan ya net. Kutokunywa pombe, kutojihusisha NA ngono nzembe n.k .

Sasa huyu mdogo Wetu kwanza alikataa kutumia, hii niwazi pia aliendelea kuteswa na mawazo.. MAWAZO yanashusha kinga ya mwili. Lkn pia sijui maisha ya nyumban kwa ujumla yalikuaje .

Ndio maana unaona 2003 akaagua ... Hapa akapata huduma za kawaida. Kula n.k akajisikia sawa, 2005 ikarudi tena ndo unaona anaanza kutumia Dawa....

Yaan anaanza kutumia Dawa akiwa namiaka 12.

Bahati mbaya anatutoka mwaka 2016 , japo alikua ktk utumiaji ...miaka 11 baadae toka atumie Dawa. . swali lako nikwann alitutoka wakat alikua kwa Dawa ???.


Hapa lazima tuangalia sababu ambatanifu ... Nakoswa maelezo mazuri sababu sijui aina ya maisha alokua anapitia mdogo , lkn pia ni madhara ya DAWA, ndio maana kwa nchi za wenzetu kabla ya kutumia Dawa, unapimwa Uwezo wa kikazi wa INI, FIGO, MAPAFU ,MOYO n.k ...
ARVs zinaathar ktk Figo, Ini , Mapafu ... Kwaiyo basi, MATUMIZI YA HIZI DAWA KWA MUDA MREFU HUPELEKEA MATATIZO YA FIGO, INI, MOYO,MAPAFU N.K
Kuna mahali nilsema Hata hizi ARVs zikijitahidi sana Zinakusogezea miaka 25 tu ivi. Nakama MTU ananipenda nakujithamin basi kwa Neema ya Mungu anaweza kusogea zaidi ya hapo.

Lkn hii haina maana zisitolewe, kwasababu zisipotolewa, urefu wa maisha unapungua mpaka kufikia miaka 2--10 ,tofauti ya hapo ni miaka inayotegemea Maisha ya MTU mwenyewe .


CHAKULA NI MUHIMU KWASABABU NDICHO KINAENDA KUPUNGUZA MATATIZO AMBAYO YANALETWA NA DAWA HIZI.



shida unakuta mtu anatumia, lkn mchapaji wa Pombe kupindukia. !!!!


Kwa ivo niseme, alitutoka sababu ya muunganiko huu
--Madhara ya Dawa
---Aina ya Maisha kwa ujumla ambayo aliyapata kwa familia najamii
----alichelewa kuanza naivo kuja kuanza wakati ambao HIV keshavuruga sana , ivo mwili ulikua nakazi ya ziada kupambana nakurudi
----- kinga yake haikua inamsupport kuchelewa kuanza Dawa.


Ndio maana siku izi, mtoto aliyezaliwa na mama muathirika, huwa tunampiga Dawa.


Mungu amlaze mahali Pema peponi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtaalamu hpa baada y usku wa jana na leo kuamka leo nmejita nafunga na conclusion hii utaniambia km conclusion yngu ina makosa

Mtu akiniomba ushauri juu y HIV nimshauri au hata mimi nikipata HIV nifanye hv....[/QUOTE]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza naomba utambue kua Athar za HIV zinategemea na kinga ya MTU husika, yaan ambavyo MTU X anarespond dhid ya HIV ni tofauti na atakavyorespond MTU Y .

Ndio maana kuna MTU anapata Leo HIV, wiki ijayo anapata dalili za maambukizi. Zinapotea...alafu miaka miwili ijayo Zinarudi tena kama AIDS .....

Lkn mwingine anapata Leo, haoni dalili zozote, sanasana tezi ndo zinakua zimemvimba muda mrefu yaan Persistent Generalized Lyphadenopathy alafu anakaaa miaka mpaka 10 wengine wanaenda mpaka ishirini hapa Inategemea na Life style yake , yaan hajijui kama anamaambukizi lkn ni MTU wa MAZOEZI, vyakula bora anapata ,sio mlevi n.k , huyu japokua Virus vinazaliana kwake lkn anaisaidia kinga ya mwili kucompensate rate ya Viral replication yaan uku virus vinazalishwa..uku kinga inazidi kuzalisha antibodies sababu ya vyakula naivo kinga inakua juu .( UKUMBUKE HATA MSOSI KAMA HUPATI ,KINGA INASHUKA. KINGA KUSHUKA MAANA YAKE, KIWANGO CHA SELI HAI NYEUPE ZA DAMU KWA ML KINAKUA KIDOGO )


Narudi kwenye Case ya Mdogo Wetu.

Kazaliwa 1994 na maambukizi ...( watu wanaozaliwa na maambukizi. ,huwa WA nakuja kudevelop kinga imara tofauti na Watu wanaopata maambukizi ukubwani) lkn hiyo haimanishi HIV ameondoka. Sasa hawa anaweza kwenda mpaka miaka 15--20 bila hata kuwahi kutumia ARVs LAKINI Akiwa anazingatia Lishe bora na mazoezi , nakufata kanuni zote za Afya kupitia mifumo mbali mbali ya mwili ..MF. .kulala ndan ya net. Kutokunywa pombe, kutojihusisha NA ngono nzembe n.k .



Sasa huyu mdogo Wetu kwanza alikataa kutumia, hii niwazi pia aliendelea kuteswa na mawazo.. MAWAZO yanashusha kinga ya mwili. Lkn pia sijui maisha ya nyumban kwa ujumla yalikuaje .

Ndio maana unaona 2003 akaagua ... Hapa akapata huduma za kawaida. Kula n.k akajisikia sawa, 2005 ikarudi tena ndo unaona anaanza kutumia Dawa.


Yaan anaanza kutumia Dawa akiwa namiaka 12 .


Bahati mbaya anatutoka mwaka 2016 , japo alikua ktk utumiaji ...miaka 11 baadae toka atumie Dawa. . swali lako nikwann alitutoka wakat alikua kwa Dawa ???.


Hapa lazima tuangalia sababu ambatanifu ... Nakoswa maelezo mazuri sababu sijui aina ya maisha alokua anapitia mdogo , lkn pia ni madhara ya DAWA, ndio maana kwa nchi za wenzetu kabla ya kutumia Dawa, unapimwa Uwezo wa kikazi wa INI, FIGO, MAPAFU ,MOYO n.k ...
ARVs zinaathar ktk Figo, Ini , Mapafu ... Kwaiyo basi, MATUMIZI YA HIZI DAWA KWA MUDA MREFU HUPELEKEA MATATIZO YA FIGO, INI, MOYO,MAPAFU N.K
Kuna mahali nilsema Hata hizi ARVs zikijitahidi sana Zinakusogezea miaka 25 tu ivi. Nakama MTU ananipenda nakujithamin basi kwa Neema ya Mungu anaweza kusogea zaidi ya hapo.

Lkn hii haina maana zisitolewe, kwasababu zisipotolewa, urefu wa maisha unapungua mpaka kufikia miaka 2--10 ,tofauti ya hapo ni miaka inayotegemea Maisha ya MTU mwenyewe .


CHAKULA NI MUHIMU KWASABABU NDICHO KINAENDA KUPUNGUZA MATATIZO AMBAYO YANALETWA NA DAWA HIZI.



shida unakuta mtu anatumia, lkn mchapaji wa Pombe kupindukia. !!!!


Kwa ivo niseme, alitutoka sababu ya muunganiko huu
--Madhara ya Dawa
---Aina ya Maisha kwa ujumla ambayo aliyapata kwa familia najamii
----alichelewa kuanza naivo kuja kuanza wakati ambao HIV keshavuruga sana , ivo mwili ulikua nakazi ya ziada kupambana nakurudi
----- kinga yake haikua inamsupport kuchelewa kuanza Dawa.


Ndio maana siku izi, mtoto aliyezaliwa na mama muathirika, huwa tunampiga Dawa.


Mungu amlaze mahali Pema peponi.



Elimu nzuri sana hii,Dr kuna wakati kipimo cha kwanza kilionyesha Hiv+ akafanyiwa cha pili nadhani ni Unigold ikasoma Hiv- huyu atashika majibu gani?
Ni kwanini ni lazima kufanya vipimo viwili?
 
Elimu nzuri sana hii,Dr kuna wakati kipimo cha kwanza kilionyesha Hiv+ akafanyiwa cha pili nadhani ni Unigold ikasoma Hiv- huyu atashika majibu gani?
Ni kwanini ni lazima kufanya vipimo viwili?
Ashike majibu ya Unigold .....kwann ??

Kuna kitu Kinaitwa sensitivity na specificity!

SD chenyewe kina sensitivity kubwa maana yake kinadetect antibodies walozalishwa dhidi ya kirusi wowote nabaadhi ya maambukizi kama Syphilis ..... Kwaiyo hiki kinaweza kukupa Majibu + ya uongo.

Unigold kina specificity kubwa ,maana yake kinadeal na Antibodies wa HIV tu.

Ndo maana ,SD kikiwa + ......kinahakikiwa na Unigold ..yaan ...MTU anaweza test + kwa SD sababu ana Syphilis ....lkn akitest kwa Unigold ni Neg.

Sasa kuepukana na Kumuanzishia MTU dawa ambaye hana maambukizi .inabidi vipimo viwili vitumike.

Lkn MTU akitest Neg kwenye SD huwa hatupim tena kwa Unigold kwa wakat huo ,tunassume kwamba Hana.
 
Mtaalamu hapa naomba niulize jambo...

Umetoa ushauri wa kitaalamu sana lkn mwisho wa siku umekuja kuishia na swala la kumshauri huyo dada atumie ARVs na mimi hapa nakuaga na maswali mengi sana ambyo cyo yanatokana na nimesoma wap au kuskia ni kutokana na experience ya kuona kwa macho yangu kabsa kwa zaid y watu wa4
UKIMWI means ni ile hali y kupungua kwa kinga ya mwili na tunaamini dawa yake kubwa itayosaidia ni ile tu inayoweza kwenda against na kupungua kwa kinga yaan ni ile dawa inayoweza kupandisha kinga ambyo kwa sasa ni ARVs tunaamin hvyo

Lakn nje ya hz ARVs na hizi shuhuda 4 nilizozishuhudia hawa ni watu ambao walipinga kutumia ARVs km vipandisha vya kinga zao instead waliandaa mifumo bora sana ya diet daah matunda; chakula bora, kuacha vile vyakula na vinywaji vyenye sumu means walianza kufuatilia hvyo vitu kwa muda muda kwahyo walikuwa wanaelewa nn wanafanya, mazoezi kwa wingi...

Mtaalamu kati ya hao mmoja cjui sahz yupo wap ila yupo njema sana na hawa watatu naona nao muda mwng mtaan wapo vizuri sana tena sana na afya zao ni njema sana na hawatumii ARVs tena wawili kati y hao walijiunga mpaka na wale E FM Jogging kupga mazoezi asbuh nakwamvia wapo njema sana sahz ni zaid y miaka 13 imepita mpaka sasa

Mtaalamu naomba elimu yako juu ya hili yaan kupandisha kinga kwa ARVs na hz njia nyngne

Naomba elimu yako mkuu plz

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee hapa hata Mimi nahitaji elimu maana hili Jambo bado Lina utata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba usome hapa ,na uelewe baada ya hapo chukua hatua.

Unapoona Dunia inachukua hatua kupambana na HIV ujue hili janga nibalaa na lipo na Linaua NDUGU....
Mkuu mtu anaweza kaa mwaka asione dalili kweli!? Hata kama zile za mafua na homa, kuvimba tezi..zile dalili za mwanzo zinazoonekana wiki 2 hadi 6 ambazo mtu hajatumia hizo PEP! Hiyo inawezekana kweli? Kwa ufahamu wangu mdogo kirusi kikiingia kuna body reaction itatokea maana mwili sasa utaanza kuzalisha kinga juu ya uvamizi mpya! sasa kwa wiki 2 hadi 6 mtu asipate dalili kabisa? mafua makali, homa e.t.c🤔
 
Kiwango cha HIV kwenye damu au viral load kinaweza kuwa kikubwa hata kama muathirika hajaanza kuonesha dalili?
 
Back
Top Bottom