SASATELE
Senior Member
- Sep 12, 2011
- 167
- 89
WanaJF,
Mimi ni mwanaume nina miaka 51. Mke wangu ana miaka 49 na hivi karibuni amefikia ukomo wa kuzaa(Menopause). Tatizo sasa ni kwamba hana hamu ya kufanya kamchezo na hata tukifanya anaumia sababu hakuna natural lubricants. Na hata tukitumia KY-Gel yeye asema hasikii raha kwa hiyo ile miguno na nini hakuna tena. Inakuwa kama nampa adhabu vile. Pia inakuwa mara moja kwa wiki 2 tena lazima nibembelezesana. Mimi niko na hamu na uwezokama kawaida. Nampenda sana mke wangu na kwa sababu ya imani yetu siwezi kuoa mke mwingine. Je nifanyeje? Zamani nilikuwa nadhani ndoa bila tendo inawezekana lakini sasa nauona moto wake!! Ikumbukwe pia kwamba vishawishi vya makinda si haba hasa ikizingatiwa kwamba i look younger than my age na hela ya mboga sio tatizo!!
Mimi ni mwanaume nina miaka 51. Mke wangu ana miaka 49 na hivi karibuni amefikia ukomo wa kuzaa(Menopause). Tatizo sasa ni kwamba hana hamu ya kufanya kamchezo na hata tukifanya anaumia sababu hakuna natural lubricants. Na hata tukitumia KY-Gel yeye asema hasikii raha kwa hiyo ile miguno na nini hakuna tena. Inakuwa kama nampa adhabu vile. Pia inakuwa mara moja kwa wiki 2 tena lazima nibembelezesana. Mimi niko na hamu na uwezokama kawaida. Nampenda sana mke wangu na kwa sababu ya imani yetu siwezi kuoa mke mwingine. Je nifanyeje? Zamani nilikuwa nadhani ndoa bila tendo inawezekana lakini sasa nauona moto wake!! Ikumbukwe pia kwamba vishawishi vya makinda si haba hasa ikizingatiwa kwamba i look younger than my age na hela ya mboga sio tatizo!!