- Thread starter
- #2,021
Hahaha hhha,Ha ha ha sasa hivi hata nguvu za kiume hana huyu.....
Sawa bwana
Hahaha hhha,Ha ha ha sasa hivi hata nguvu za kiume hana huyu.....
Nimekuelewa Bro,Hapo kuna njia mbili....
1.Tafuta wataalamu wa kumaliza kesi kwa kivyovyote vile.... au
2. Fanya maarifa aondoke hapo nyumbani kwako maana ndiyo kunampa free ride .... Weka mwanasheria akusimamie- ili isiwe lazima wewe kupuyanga mahakamani daily, hlf ongea na hakimu na muendesha mashitaka vizuri hiyo kesi iwe inapigwa kalenda tu ( apuyange kwenda mahakamani kwa miaka kadhaa mpaka apauke na believe me hata wanaomsupport watamkimbia).
Narudia tena ,kwenye maisha kuna kipindi inahitajika undava undava brother.
Hamisha kesi mahakama ya wilaya ili uweke wakili....Hapana ndugu yangu,
Nasikia mahakama za mwanzo hakuna wa wanasheria,
Labda umehisi nini hapo,
Unisaidie kimawazo
Tafuta mwanasheria akusaidie kisheria ,pekee yako siyo rahisi hivyo.Hapana ndugu yangu,
Nasikia mahakama za mwanzo hakuna wa wanasheria,
Labda umehisi nini hapo,
Unisaidie kimawazo
Ha ha ha wewe jamaa ni mzito sana ,akili yako inaload slowly sana aseeeh- ndiyo maana hako kamwanamke kanakuendesha mno.Nimekuelewa sana,
Hebu Naomba nisaidie hapo,
Inamaana pamoja na vyeti vya ndoa, mahakama inaweza kumsikia na ikampa haki?, namaanisha kwa mali za bi mkubwa
Ha ha ha wewe jamaa ni mzito sana ,akili yako inaload slowly sana aseeeh- ndiyo maana hako kamwanamke kanakuendesha mno.
Hahahahah daaah! Hii ndio JFHa ha ha sasa hivi hata nguvu za kiume hana huyu.....
Ha ha ha ha
Angeweka mwanasheria mda mrefu sana angekuwa ashasahau .
Ila inaonekana kuna mwanaume mwenye nguvu ya hela na madaraka yupo nyuma ya huyu mwanamke
Mimi sio mzito,Ha ha ha wewe jamaa ni mzito sana ,akili yako inaload slowly sana aseeeh- ndiyo maana hako kamwanamke kanakuendesha mno.
Nilivyowekwa ndani , kwanza sikutarajia kama huyu mwanamke kaniandalia askari,nilishtukia tu mimi nimetoka kazini nimeoga, nasubiria niletewe chakula, mala askari hawa hapa,Ha ha ha ha
Huyu jamaa ana matatizo siyo bure.
Kwa mali alizonazo na exposure ,sijui na safari za nje yaani hajuani na mwanasheria hata mmoja. Yaani kweli hana mshauri wa mambo ya kisheria maishani mwake akamshauri vitu vya kisheria?
Imagine aliwekwa mahabusu bila kuambiwa chochote for two days ,hlf anamtafuta huyo huyo mwanamke ndiyo aje kumtoa- yaani amekosa ndugu au rafiki au mwanasheria au hata contacts za askari wakubwa wakubwa?
Aaaaaha huyu jamaa brain yake ni Pentium zero..... Anaload km zile computer za kutumia floppy disk aseeeh
Halafu kingine, hili suala lilikuw animal langu binafsi sana sikutaka kuwaingiza watu wangu wa karibu kwenye issue ya kibinafsi kama hii,Ha ha ha ha
Huyu jamaa ana matatizo siyo bure.
Kwa mali alizonazo na exposure ,sijui na safari za nje yaani hajuani na mwanasheria hata mmoja. Yaani kweli hana mshauri wa mambo ya kisheria maishani mwake akamshauri vitu vya kisheria?
Imagine aliwekwa mahabusu bila kuambiwa chochote for two days ,hlf anamtafuta huyo huyo mwanamke ndiyo aje kumtoa- yaani amekosa ndugu au rafiki au mwanasheria au hata contacts za askari wakubwa wakubwa?
Aaaaaha huyu jamaa brain yake ni Pentium zero..... Anaload km zile computer za kutumia floppy disk aseeeh
Chief, Nimekuelewa sana, thanks a million,Me : Ezio, what do u feel about this thread?
Also me : an emotional roller coaster.
May God almighty give you the necessary strength to do what's right.
Let's say umevumilia yote for the sake of your daughters but i know for sure that every man has his breaking point and yoz ain't gonna be pretty.
It's either u will end up in jail for hurting/killing that woman or u might die from depression related causes ( stroke, heart complications etc.)
Either way there is no win win situation here unless u start counting your blessings on what u have rather than on what u don't have. And u keep this long enough u gonna end up losing both your families.
You know u are no good to either of them if you are dead or in jail, don't u chief?
So get on your knees and pray for the God's forgiveness and strength, then man up and do what's right.
.
Hata hivyo umemtendea wema sanaaaaaaChief, Nimekuelewa sana, thanks a million,
Namshukuru sana sana Mungu kwa kunipa nguvu mpaka dk hii,
Ni kweli mwanzo nilijidanganya kuvumilia sana sababu ya watoto, lakini ni kosa kubwa sana nilifanya.,
Mungu ni mkubwa, huyu mtu kumwepuka nimekwepa mambo makubwa sana, kama ukivyosema either angeniua au ningemuua au kumjeruhi vibaya sana,
Lakini kitendo cha kutokuwa naye, sijui hata namna ya kumshukuru Mungu,
Uhakika ambao ni nao, huko jela au kufa labda iwe sababu nyingine lakini kama ni chanzo cha yule mtu labda yeye ndio aniue, either kwa kuniletea majambazi au kuniloga, chochote kati ya hivyo, lakini mimi namtumainia Mungu, atanivusha tu.
Ahsante sana kwa maneno yako ya hekima na busara na huruma
,
Bora wakuue tu mzee , Rudi kwa mkeo unaenda KUFA trust meKusema kweli kama sio kukomaa mpaka sasa hivi ningekuwa nmeshamwachianyumba kwa vituko alivyonifanyia,
Kinachonitia wasiwasi huyo bwana ambaye wanae, kwanza alimwoaga binamu wa mke wangu, wakaachana baada ya bwana kumfumania mke wake na bwana mwingine,
Jamaa alipiga mwanamke karibu aue, haikutoshaakamfuata mwanaume na kumchima visu na kukimbia kijiji, amerudi juzi tu, huko
Kwa hiyo jamaa ni mshari wasiwasi wasije kuunda njama wanipotezee uhai,
Ila Mungu ameendelea kuwa na mimi,
Nimeshaenda kutoa taarifa polisi,