Mahaka ya mwanzo Mwanza imetoa hukumu ya kuvunja ndoa yangu bila kuniksikiliza nilipouliza walisema hawanioni samasi sijawahi kuletewa hata siku moja wamesikiliza upande mmoja.
Ila kuna kila kiashiuria cha rushwa na sijatoka inje ya mwanza hata siku moja hakimu kaniambia hawawezi kunisaidia kwa lolote hiyo imetoka hapa ndio mjini
Nifanyeje
Ila kuna kila kiashiuria cha rushwa na sijatoka inje ya mwanza hata siku moja hakimu kaniambia hawawezi kunisaidia kwa lolote hiyo imetoka hapa ndio mjini
Nifanyeje