Naomba ushauri: Mahakama imetoa hukumu ya kuvunja ndoa yangu bila kunisikiliza

Mbudi

JF-Expert Member
Apr 14, 2013
564
146
Mahaka ya mwanzo Mwanza imetoa hukumu ya kuvunja ndoa yangu bila kuniksikiliza nilipouliza walisema hawanioni samasi sijawahi kuletewa hata siku moja wamesikiliza upande mmoja.

Ila kuna kila kiashiuria cha rushwa na sijatoka inje ya mwanza hata siku moja hakimu kaniambia hawawezi kunisaidia kwa lolote hiyo imetoka hapa ndio mjini

Nifanyeje
 
MAHAKA YA MWANZO MWANZA IMETOA HUKUMU YA KUVUNJA NDOA YANGU BILA KUNIKSIKILIZA NILIPO ULIZA WALISEMA HAWANIONI SAMASI SIJAWAHI KULETEWA HATA SIKU MOJA WAMESIKILIZA UPANDE MMOJA ILA KUNA KILA KIASHIURIA CHA RUSHWA NA SIJATOKA INJE YA MWANZA HATA SIKU MOJA HAKIMU KANIAMBIA HAWAWEZI KUNISAIDIA KWA LOLOTE HIYO IMETOKA HAPA NDIO MJINI

NIFANYEJE
JUMATANO NITAWEKA NAKALA YA HUKUMU HAPA
 
Huwezi kulazimisha ndoa ikiwa mwenza wako kachoka. Just move on na utapata mwingine.
 
Inaonekana mkeo kakuzid kete af bado unamng'ang'ania

Yajao yanafuraisha kijana
Mwache aende.
 
Inaonekana mkeo kakuzid kete af bado unamng'ang'ania

Yajao yanafuraisha kijana
Mwache aende.
 
MAHAKA YA MWANZO MWANZA IMETOA HUKUMU YA KUVUNJA NDOA YANGU BILA KUNIKSIKILIZA NILIPO ULIZA WALISEMA HAWANIONI SAMASI SIJAWAHI KULETEWA HATA SIKU MOJA WAMESIKILIZA UPANDE MMOJA ILA KUNA KILA KIASHIURIA CHA RUSHWA NA SIJATOKA INJE YA MWANZA HATA SIKU MOJA HAKIMU KANIAMBIA HAWAWEZI KUNISAIDIA KWA LOLOTE HIYO IMETOKA HAPA NDIO MJINI

NIFANYEJE
nicheki PM
 
Mahaka ya mwanzo Mwanza imetoa hukumu ya kuvunja ndoa yangu bila kuniksikiliza nilipouliza walisema hawanioni samasi sijawahi kuletewa hata siku moja wamesikiliza upande mmoja.

Ila kuna kila kiashiuria cha rushwa na sijatoka inje ya mwanza hata siku moja hakimu kaniambia hawawezi kunisaidia kwa lolote hiyo imetoka hapa ndio mjini

Nifanyeje
Kata rufaa kanuni ya Audi alteram partem imevunjwa.
 
Mahaka ya mwanzo Mwanza imetoa hukumu ya kuvunja ndoa yangu bila kuniksikiliza nilipouliza walisema hawanioni samasi sijawahi kuletewa hata siku moja wamesikiliza upande mmoja.

Ila kuna kila kiashiuria cha rushwa na sijatoka inje ya mwanza hata siku moja hakimu kaniambia hawawezi kunisaidia kwa lolote hiyo imetoka hapa ndio mjini

Nifanyeje
Ukiona manyoya ujue keshaliwa!
 
Back
Top Bottom