Naomba ushauri kwenye Experiment yangu niliyoifanya mwezi wa tatu 2021

maharage ya ukweni

JF-Expert Member
Aug 25, 2016
1,231
2,400
Asalaam aleykum!
Wakuu kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza.
Mnamo mwezi wa tatu mwaka huu 2021 baada ya kutafakari na kujiuliza mambo mengi kuhusu akili yangu na kugundua kwamba natumia asilimia ndogo sana ya akili yangu katika maisha ya kila siku wakati nina uwezo mkubwa sana wa akili.
Nilifanya experiment kama ifuatavyo;Nilichukua X1 nikachanganya na Y1 nikasaga kwa pamoja kwenye blender then nikafunga.Siku ya pili nikachuja mchanganyiko wa X1 na Y1 nikaweka kwenye kikopo ndani nikatumbukiza nyanya nzima nilizoiva nyekundu ambazo hazijapikwa.
Matokeo ni kwamba tangu mwezi wa tatu mwaka huu mpaka Leo hii mwezi wa kumi zile nyanya hazijaoza wa kuweka ukungu au kutengeneza fangasi ndani ya kile kikopo.Changamoto ni kwamba nyanya zimelainika na huwa kuna hewa nzito ambayo huwa naiondoa kwakufungua kikopo halafu nakifunga tenda.
NB:Kitendo cha nyanya kutokuoza na kutengeneza ukungu au fangasi ndani ya kile kikopo kilichofungwa ni jambo kubwa wala sio ndogo
 
Naomba ushauri ya jinsi gani yakuzuia hewa nzito ambayo inajitokeza ndani ya kile kikopo maana inanilazimu kukifungua baada ya mda fulani ili kuondoa harufu nzito inayotokana na joto
 
X1 na Y1 ni vitu gani Mkuu?

Naomba nikuelewe hivohivo,

Lakini Ganda la Nyanya sio rahisi kumeng'enywa hata na mfumo wetu wa Chakula ndani ya mwili hasa likiwa limepoa.

Umefanya fermentation ya Muda mrefu na tegemea huo mchanganyiko kuendelea kuoza usiseme hauozi, yaani kuna digestion inafanyika (Catabolism) sema ipo Slow sana, kwa ajili ya huo mchanganyiko kuwa Stable.

Fuatilia pia issue ya BIOCHEMICAL OXYGEN DEMAND na CHEMICAL OXYGEN DEMAND pamoja na BIOGAS production

Unapofungua hilo kopo, Hewa Chafu probably Kabonidaioksaidi na Ammonia zitatoka na pia Energy itakuwa released.

Nyanya ni Organic Substrate, kwa hiyo Chemical Changes zinafanyika kwa msaada mkubwa wa enzymes, catalyst kama ulitumia na pia environmental effects kama temperature, humidity na zingine, pamoja na hizo unknown X1 na Y1

Bacteria wanaweza kukaa na kuzalisha cell zingine wakaendelea na breakdown ya any strong Organic Matter hata wakati unapokuwa umefunga hilo Container anaerobically bila Oksjeni.

Mwisho, hizo X1 na Y1 zinaweza kuwa zimechelewesha mchanganyiko huu kutokuharibika mapema kwa sababu inawezekana kabisa zinazuia hawa Micro-organisms kuishi na kuzalisha Cell zingine kwa wingi ili kuzishambulia hizo Nyanya (Organic Matter)

Kingine labda hewa Chafu unaweza kuipunguza Iwapo kama utabadilisha Nyanya iliyotoboka tayari kama ipo.

Eleza zaidi labda Muundo wako wa jaribio, because pia, unaweza kuextend Apparatus yako ikawa na sehemu ya kuitoa hewa moja kwa moja
 
X1 na Y1 ni vitu gani Mkuu?

Naomba nikuelewe hivohivo,

Lakini Ganda la Nyanya sio rahisi kumeng'enywa hata na mfumo wetu wa Chakula ndani ya mwili hasa likiwa limepoa.

Umefanya fermentation ya Muda mrefu na tegemea huo mchanganyiko kuendelea kuoza usiseme hauozi, yaani kuna digestion inafanyika (Catabolism) sema ipo Slow sana, kwa ajili ya huo mchanganyiko kuwa Stable.

Fuatilia pia issue ya BIOCHEMICAL OXYGEN DEMAND na CARBONACEOUS OXYGEN DEMAND pamoja na BIOGAS production

Unapofungua hilo kopo, Hewa Chafu probably Kabonidaioksaidi na Ammonia zitatoka na pia Energy itakuwa released.

Nyanya ni Organic Substrate, kwa hiyo Chemical Changes zinafanyika kwa msaada mkubwa wa enzymes, catalyst kama ulitumia na pia environmental effects kama temperature, humidity na zingine, pamoja na hizo unknown X1 na Y1

Bacteria wanaweza kukaa na kuzalisha cell zingine wakaendelea na breakdown ya any strong Organic Matter hata wakati unapokuwa umefunga hilo Container anaerobically bila Oksjeni.

Mwisho, hizo X1 na Y1 zinaweza kuwa zimechelewesha mchanganyiko huu kutokuharibika mapema kwa sababu inawezekana kabisa zinazuia hawa Micro-organisms kuishi na kuzalisha Cell zingine kwa wingi ili kuzishambulia hizo Nyanya (Organic Matter)

Kingine labda hewa Chafu unaweza kuipunguza Iwapo kama utabadilisha Nyanya iliyotoboka tayari kama ipo.

Eleza zaidi labda Muundo wako wa jaribio, because pia, unaweza kuextend Apparatus yako ikawa na sehemu ya kuitoa hewa moja kwa moja
Mkuu kutokana na ulivyo eleza nisaidie maelezo hapa:

Nimetengeneza chachandu yenyemchanganyiko ufuatao-
Pili pili za mwendokasi
Tangawizi
Vitunguu saumu na maji
Mafuta ya alizeti
Hoho
Chumvi.
Nimetunza kwenye kopo la maji ya watoto, pili pili ina wiki 2 bado haijaonesha dalili ya kuoza ila harufu imebadirika kwa mbali test bado nzuri.
Niliwahi tengeneza baada ya miezii kadhaa ikapata fangazi.
Je kwa nini inapata fangasi wakati nimeitengeneza kwa viba vya asili ya sumu kali kwa wadudu.
Kwa nini fangasi hawadhuriki na huo mchanganyiko ambao mie mwenyewe nikizidisha kipimo tumbo linachemka hatari.
Je nitumie kwa muda gani kabla haijapoteza ubora ?
Je niongeze nini cha asili kwa matumizi ya muda mrfu zaidi?
Shukrani.
 
X1 na Y1 ni vitu gani Mkuu?

Naomba nikuelewe hivohivo,

Lakini Ganda la Nyanya sio rahisi kumeng'enywa hata na mfumo wetu wa Chakula ndani ya mwili hasa likiwa limepoa.

Umefanya fermentation ya Muda mrefu na tegemea huo mchanganyiko kuendelea kuoza usiseme hauozi, yaani kuna digestion inafanyika (Catabolism) sema ipo Slow sana, kwa ajili ya huo mchanganyiko kuwa Stable.

Fuatilia pia issue ya BIOCHEMICAL OXYGEN DEMAND na CHEMICAL OXYGEN DEMAND pamoja na BIOGAS production

Unapofungua hilo kopo, Hewa Chafu probably Kabonidaioksaidi na Ammonia zitatoka na pia Energy itakuwa released.

Nyanya ni Organic Substrate, kwa hiyo Chemical Changes zinafanyika kwa msaada mkubwa wa enzymes, catalyst kama ulitumia na pia environmental effects kama temperature, humidity na zingine, pamoja na hizo unknown X1 na Y1

Bacteria wanaweza kukaa na kuzalisha cell zingine wakaendelea na breakdown ya any strong Organic Matter hata wakati unapokuwa umefunga hilo Container anaerobically bila Oksjeni.

Mwisho, hizo X1 na Y1 zinaweza kuwa zimechelewesha mchanganyiko huu kutokuharibika mapema kwa sababu inawezekana kabisa zinazuia hawa Micro-organisms kuishi na kuzalisha Cell zingine kwa wingi ili kuzishambulia hizo Nyanya (Organic Matter)

Kingine labda hewa Chafu unaweza kuipunguza Iwapo kama utabadilisha Nyanya iliyotoboka tayari kama ipo.

Eleza zaidi labda Muundo wako wa jaribio, because pia, unaweza kuextend Apparatus yako ikawa na sehemu ya kuitoa hewa moja kwa moja
Mkuu kinachotokea ni nyanya zimelainika kutokana na joto kali lakini nyama ya kati ya nyanya pamoja na mbegu hazijaoza,pia naamini Kitendo cha nyanya kutokuoza na kutengeneza ukungu au fangasi ndani ya kile kikopo kwa mda wa miezi saba inatosha kusema huu ni ugunduzi na kwangu ni hatua muhimu na ntaendelea kuboresha na kutatua changamoto hasa hii ya kujaa hewa nzito kwakuweka matundu au kujaza kwenye chupa badala ya kuweka kwenye kikopo cha plastiki.
Pia nategemea kufanya experiment nyingine ya kuhifadhi maji au kuyatibu yasiweke fangasi kwakutumia mchanganyiko wa X1 na Y1.Katika experiment hii ntatumia maji ya mvua
 
Mkuu kinachotokea ni nyanya zimelainika kutokana na joto kali lakini nyama ya kati ya nyanya pamoja na mbegu hazijaoza,pia naamini Kitendo cha nyanya kutokuoza na kutengeneza ukungu au fangasi ndani ya kile kikopo kwa mda wa miezi saba inatosha kusema huu ni ugunduzi na kwangu ni hatua muhimu na ntaendelea kuboresha na kutatua changamoto hasa hii ya kujaa hewa nzito kwakuweka matundu au kujaza kwenye chupa badala ya kuweka kwenye kikopo cha plastiki.
Pia nategemea kufanya experiment nyingine ya kuhifadhi maji au kuyatibu yasiweke fangasi kwakutumia mchanganyiko wa X1 na Y1.Katika experiment hii ntatumia maji ya mvua
Mkuu umejibiwa kisayansi sana ila wewe unasimamia common sense, unatakiwa ulete scientific facts sio common sense.
Halafu ukitoboa matundu hewa si itaingia na reaction zitatake place na matokeo yataakuwa tofauti na mwanzo.
Unajua katika experment ukibadili control variables hupati matokeo sawa ma mwanzo
 
Omba maabara yoyote kafanyie experment yako humo.
Kitu kingine hio experment lengo lako nini hasa iwapo utapata matokeo unayoyatarajia?
Kila experment inakuwa na objectives.Wewe objectives zako nini?
Kitu kingine shirkisha wataalamu maana unaweza kuwa unataka kugundua kitu ambacho tayari ni public knowledge au open source knowledge yaani kilishagunduliwa kitambo.
Hivyo kama wewe sio mwamasayansi shirikisha wataalamu mpitie rejea iwapo hicho kitu ni kipya au ni innovation tu au vyovyote vile.
Unaweza ukawa unapoteza muda bure kwa kitu cha kawaida au unapoteza wazo jipya.
Suala la wewe kuogopa kuibiwa idea halina mashiko sana, kwa sababu idea yako ipo vichwani mwa wengine vilevile.
 
Mkuu kutokana na ulivyo eleza nisaidie maelezo hapa:

Nimetengeneza chachandu yenyemchanganyiko ufuatao-
Pili pili za mwendokasi
Tangawizi
Vitunguu saumu na maji
Mafuta ya alizeti
Hoho
Chumvi.
Nimetunza kwenye kopo la maji ya watoto, pili pili ina wiki 2 bado haijaonesha dalili ya kuoza ila harufu imebadirika kwa mbali test bado nzuri.
Niliwahi tengeneza baada ya miezii kadhaa ikapata fangazi.
Je kwa nini inapata fangasi wakati nimeitengeneza kwa viba vya asili ya sumu kali kwa wadudu.
Kwa nini fangasi hawadhuriki na huo mchanganyiko ambao mie mwenyewe nikizidisha kipimo tumbo linachemka hatari.
Je nitumie kwa muda gani kabla haijapoteza ubora ?
Je niongeze nini cha asili kwa matumizi ya muda mrfu zaidi?
Shukrani.
Ni jambo jema pia kuvitumia vyakula vya asili vya aina hii kama vinavyojulikana kwa Sasa hapa kwetu. Lakini Matumizi yake yanapatwa na wakati Mgumu kwa ushindani mkubwa uliopo na vyakula vya kisasa

Tuelezane kwa muktadha huuhuu,

Mchanganyiko wako unaoza kwa tabu kubwa, yaani vitu ulivyotumia vyote ni vinachelewesha sana idadi ya siku au Miezi kabla ya kukamilika kwa reactions Muhimu.

Kuhusu harufu unaoiona baada ya Muda mrefu ni kwa kuwa Sasa ile inhibition inapungua na bacteria Sasa watakua na uwezo wa kufanya fermentation... Matokeo yake makubwa ni hewa ya METHANE na KABONIDAIOKSAIDI zinazonuka.

Vitunguu saumu vinaenda hata 100 days kufanya complete fermentation. Na bado vikalika na wakati kama huu mchanganyiko wako utakuwa unatoa METHANE na KABONIDAIOKSAIDI nyingi yaani harufu itakuwa ya ajabu mno

Kuhusu Fangasi, wakati unafanya fermentation ni kawaida kuona utando wa rangi nyeupe, kijivu, nyeusi, kijani, au zingine ukiwa unajitengeneza kwa juu ya mchanganyiko baada ya siku kadhaa.

Utando huu unaitwa, kwa wewe kwa kuwa hizo ni mbogamboga au Viungo I guess utakuwa wa kijivu au mweupe, unaitwa kahm yeast

Utando ambao unajitengeneza kwa sababu ya nafasi iliyopo ndani ya chupa ya Maji na vile ambavyo mchanganyiko wako haujazamishwa Vyema kwenye Maji, kumbuka nafasi hii hii ni muhimu kwa gas zinazotoka

Utando hauna madhara kwako wewe mlaji na utatakiwa kuwa unauengua taratibu na kuutoa au kuvitoa vipande vya Chachandu yako vyenye huo Utando.

Nakupa big up kwa sababu kwa Viungo vya Mchanganyiko wako unaweza kupata bidhaa inayoweza kudumu hata mwezi mzima au nusu Mwaka kama ukiandaa na ukiitunza vyema

Ukitaka ikae muda mrefu zaidi tumia aina ya vitu hivo kwa wingi vyenye uchachu vina athari nzuri kwenye mambo Mengine kama pH, Temperature, Tabia za Microorganisms pia.
 
Mkuu kinachotokea ni nyanya zimelainika kutokana na joto kali lakini nyama ya kati ya nyanya pamoja na mbegu hazijaoza,pia naamini Kitendo cha nyanya kutokuoza na kutengeneza ukungu au fangasi ndani ya kile kikopo kwa mda wa miezi saba inatosha kusema huu ni ugunduzi na kwangu ni hatua muhimu na ntaendelea kuboresha na kutatua changamoto hasa hii ya kujaa hewa nzito kwakuweka matundu au kujaza kwenye chupa badala ya kuweka kwenye kikopo cha plastiki.
Pia nategemea kufanya experiment nyingine ya kuhifadhi maji au kuyatibu yasiweke fangasi kwakutumia mchanganyiko wa X1 na Y1.Katika experiment hii ntatumia maji ya mvua
maharage ya ukweni concept yako ni wider like haya, X1 na Y1 ni substance kama fruits, vegetables au some proteins yaani are they some other food samples au ni CHEMICAL portions?

Kama sio chemicals basi ni amongst the destructive inhibitors of the experiment zinazuia aina ya wadudu wabaya kuishi na kufanya kazi. Na hii ndio salama ya nyanya provided Ganda lisitoboke.

Nyanya kuwa laini inaweza kuwa imepata kitu ambacho YAI hukipata linapokutana na joto Kali, huiva kwa ndani kwa kubadilika kuwa SOLID inside while strongly protected by its outer shell.

Wakati kwa Nyanya kukiwa na joto kubwa huiva kwa ndani kwa kubadilika kuwa LIQUID inside while strongly protected by its outer skin
 
Ni jambo jema pia kuvitumia vyakula vya asili vya aina hii kama vinavyojulikana kwa Sasa hapa kwetu. Lakini Matumizi yake yanapatwa na wakati Mgumu kwa ushindani mkubwa uliopo na vyakula vya kisasa

Tuelezane kwa muktadha huuhuu,

Mchanganyiko wako unaoza kwa tabu kubwa, yaani vitu ulivyotumia vyote ni vinachelewesha sana idadi ya siku au Miezi kabla ya kukamilika kwa reactions Muhimu.

Kuhusu harufu unaoiona baada ya Muda mrefu ni kwa kuwa Sasa ile inhibition inapungua na bacteria Sasa watakua na uwezo wa kufanya fermentation... Matokeo yake makubwa ni hewa ya METHANE na KABONIDAIOKSAIDI zinazonuka.

Vitunguu saumu vinaenda hata 100 days kufanya complete fermentation. Na bado vikalika na wakati kama huu mchanganyiko wako utakuwa unatoa METHANE na KABONIDAIOKSAIDI nyingi yaani harufu itakuwa ya ajabu mno

Kuhusu Fangasi, wakati unafanya fermentation ni kawaida kuona utando wa rangi nyeupe, kijivu, nyeusi, kijani, au zingine ukiwa unajitengeneza kwa juu ya mchanganyiko baada ya siku kadhaa.

Utando huu unaitwa, kwa wewe kwa kuwa hizo ni mbogamboga au Viungo I guess utakuwa wa kijivu au mweupe, unaitwa kahm yeast

Utando ambao unajitengeneza kwa sababu ya nafasi iliyopo ndani ya chupa ya Maji na vile ambavyo mchanganyiko wako haujazamishwa Vyema kwenye Maji, kumbuka nafasi hii hii ni muhimu kwa gas zinazotoka

Utando hauna madhara kwako wewe mlaji na utatakiwa kuwa unauengua taratibu na kuutoa au kuvitoa vipande vya Chachandu yako vyenye huo Utando.

Nakupa big up kwa sababu kwa Viungo vya Mchanganyiko wako unaweza kupata bidhaa inayoweza kudumu hata mwezi mzima au nusu Mwaka kama ukiandaa na ukiitunza vyema

Ukitaka ikae muda mrefu zaidi tumia aina ya vitu hivo kwa wingi vyenye uchachu vina athari nzuri kwenye mambo Mengine kama pH, Temperature, Tabia za Microorganisms pia.
Nimekuelewa sana mkuu big up this is required knowledge!
Kuna kipengele hujajibu. Ili idumu zaidi niweke nini cha kuitunza muda mrefu hata kama kinauzwa madukani.
Je vipi kuhusu kuoza kwa vyakula vya kunde. Binafsi huwa napika maharage kisha nayakausha na joto na huwa nayatumia mpaka wiki.Je nikiyakausha vizuri kwa jua au joto au incubator je yatakuwa na uwezo wa kukaaa muda gani zaidi(in bussiness perspective) bila kupata fangasi. Je ladha inabadirika au inakuwaje.
Je nikiyafunga kama karanga yatakaa muda gani bila kuharibika?
Hii elimu ni ya food science,microbiogy,s au genearal chemistry hemu connect dot.
 
maharage ya ukweni concept yako ni wider like haya, X1 na Y1 ni substance kama fruits, vegetables au some proteins yaani are they some other food samples au ni CHEMICAL portions?

Kama sio chemicals basi ni amongst the destructive inhibitors of the experiment zinazuia aina ya wadudu wabaya kuishi na kufanya kazi. Na hii ndio salama ya nyanya provided Ganda lisitoboke.

Nyanya kuwa laini inaweza kuwa imepata kitu ambacho YAI hukipata linapokutana na joto Kali, huiva kwa ndani kwa kubadilika kuwa SOLID inside while strongly protected by its outer shell.

Wakati kwa Nyanya kukiwa na joto kubwa huiva kwa ndani kwa kubadilika kuwa LIQUID inside while strongly protected by its outer peel
Hivi nini maana ya chemical?Hivi ndimu au limao sio chemical?
 
X1 na Y1 sio chemicals ni vitu ambavyo unaweza kula visikudhuru,kwani chemicals zinashushwa kutoka mbinguni?Mjomba chemicals zinatokana na matunda,miti,majani,maua.
 
Hapo safi kiasi umetaka kuzungumza,

X1 na Y1 pia kumbe sio Inorganics yaani ni vitu pia vya kuoza as a function of time. Luckily you got real Inhibition. Hapa Pana mambo fulani naweza kukupa

Chemical nimetaja nikichukulia maana ya substances which have been artificially prepared or purified. Maana haujaspecify vyema bado ulichotengeneza

Sasa ukisema Ndimu ni Chemical unafikiri upo sahihi bwana 'maharage ya ukweni'?

Experiment yako kama umetumia vitu vya asili ya vyakula ni nzuri sana na unaweza kuja na bonge la Product
 
Hapo safi kiasi umetaka kuzungumza,

X1 na Y1 pia kumbe sio Inorganics yaani ni vitu pia vya kuoza as a function of time. Luckily you got real Inhibition. Hapa Pana mambo fulani naweza kukupa

Chemical nimetaja nikichukulia maana ya substances which has been artificially prepared or purified. Maana haujaspecify vyema bado ulichotengeneza

Sasa ukisema Ndimu ni Chemical unafikiri upo sahihi bwana 'maharage ya ukweni'?

Experiment yako kama umetumia vitu vya asili ya vyakula ni nzuri sana na unaweza kuja na bonge la Product
This experiment is from somethings that you can never imagine,yaani X1 na Y1 unifikiria sana huwezi kuamini
 
Hivi kuweza kuhifadhi nyanya let say kwa miezi mitano tu haiwezi kuokoa maelfu ya tani za nyanya zinazoharibika?Maana experiment yangu kwa mda wa miezi 5 zinaweza kulika kwani zinakuwa bado zinamuonekano mzuri ingawaje zinakuwa zimerumbujuka lakini hajaoza yaani mpaka mbegu nzima tena mbegu hata mpaka huu mwezi wa saba ziko vizuri ukiringanisha na nyama nyama ya nyanya.
Kitu ambacho natarajia kukifanyia kazi ni ratio ya X1,Y1 pamoja na nyanya.Hapa ntafanya experiment kuangalia ni Grams ngapi za X1 na Y1 zinafaa kuhifadhi Grams ngapi za nyanya na kwa mda gani
 
Kitu kingine ntakachokifanyia kazi ni kubadilisha chombo cha kuhifadhia huu mchanganyiko,badala ya kutumia plastiki ntatumia chupa coz joto kwenye chupa linapotea kwa haraka sana na linapokea joto kwa mda mrefu sana ukilinganisha na plastiki
 
Kitu kingine ntakachokifanyia kazi ni kubadilisha chombo cha kuhifadhia huu mchanganyiko,badala ya kutumia plastiki ntatumia chupa coz joto kwenye chupa linapotea kwa haraka sana na linapokea joto kwa mda mrefu sana ukilinganisha na plastiki
Hakuna mwanasayansi anaweza pokea huo utafiti unaoufanya
Mpaka sasa bado hujui nini unafanya na wala huna majibu ya moja kwa moja kwa sababu huzingatii scientific research procedures.
Mkuu utaishia kijifurahisha. Utafiti wowote katika karne ya 21 lazima ufanyikie maabara ili kutia matokeo yasio na shaka.
Nimekushauri tafuta maabara ya kisasa kafanyie huo utafiti wako mle vinginevyo unajifurahisha tu.
Rejea mpemba effect alifanya jaribio lake nyumbani ,the simplest expernent ever done inTz lakini alipeleka shauri lake kwa profesa kufanyiwa utafiti zaidi.
Nacho kiona kwako ni "closed minded" .
Katika uliwengu wa sayansi watu hawajifungii chumbani mkuu wanashirikiana na wengine at the end of the day utahitaji watu tu upende usipende.

Jaribu kufuata misingi ya sayansi, hizo tafiti za kujificha ndani unaweza tengebeza gesi za sumu zikakuua bure.
 
Kitu kingine ntakachokifanyia kazi ni kubadilisha chombo cha kuhifadhia huu mchanganyiko,badala ya kutumia plastiki ntatumia chupa coz joto kwenye chupa linapotea kwa haraka sana na linapokea joto kwa mda mrefu sana ukilinganisha na plastiki
Hakuna mwanasayansi anaweza pokea huo utafiti unaoufanya
Mpaka sasa bado hujui nini unafanya na wala huna majibu ya moja kwa moja kwa sababu huzingatii scientific research procedures.
Mkuu utaishia kijifurahisha. Utafiti wowote katika karne ya 21 lazima ufanyikie maabara ili kutia matokeo yasio na shaka.
Nimekushauri tafuta maabara ya kisasa kafanyie huo utafiti wako mle vinginevyo unajifurahisha tu.
Rejea mpemba effect alifanya jaribio lake nyumbani ,the simplest expernent ever done inTz lakini alipeleka shauri lake kwa profesa kufanyiwa utafiti zaidi.
Nacho kiona kwako ni "closed minded" .
Katika uliwengu wa sayansi watu hawajifungii chumbani mkuu wanashirikiana na wengine at the end of the day utahitaji watu tu upende usipende.

Jaribu kufuata misingi ya sayansi, hizo tafiti za kujificha ndani unaweza tengebeza gesi za sumu zikakuua bure.
 
Back
Top Bottom