mbalila
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 823
- 157
mimi ni mfanyakazi wa umma ,nataka kuomba mkopo wa mabati kutoka kwenye kampuni ya TUNAKOPESHA LIMITED malipo yao ni miezi 36 yaani miaka mitatu, sijaona mkataba wao ila viambatanisho ni salary slip mbili, bank statement ya miezi sita ya nyuma na photocopy ya kadi ya benk,sasa naomba kama wenye uzoefu na hawa watu anijuze naomba kuwasilisha .