Jibu toshaMbona kitu rahisi sana hii.
Chukua mbegu za ubuyu kamua mpaka pale utakapopata mafuta lita moja kisha acha. Simple
Okay sawa mkuu. Kusema kweli labda sikuelewa uzi ila haya maelezo ungeyatoa kwenye uzi wako nadhani ingefaa zaidi.nashkuru kwa wazo lako ila maana ya kuomba msaada huu kua nataka kuagizia magunia (polo) ya ubuyu na nimepewa order ya lita 2500 na ndio mara yangu ya kwanza kuanza biashara ya mafuta ya ubuyu kwahio nikihitaji kujua kwa uhakika kabla ya kuagizia mzigo