Sangoma
JF-Expert Member
- Apr 7, 2012
- 342
- 162
Wakuu habari za majukumu leo katika pitapita zangu nimekutana na huyu mtoto sio siri amenigusa kwa hali aliyo nayo anateseka kwa maelezo ya wazazi wake huu ugonjwa anao tokea amezaliwa na hivi sasa anamiaka 2 ameshaenda hospital kadhaa kadhaa za kawaida kulingana na uwezo wake wa kifedha ila bado ajapata tiba sahihi msaada wenu wa mawazo kwa upande wangu nimeguswa nahitaji kusaidia kidogo ikiwa ni kumchukulia bima ya toto afya kadi.