beast18
JF-Expert Member
- Mar 20, 2016
- 320
- 482
msimdiscourage kijana et ana akili za kitoto , ana mawazo mazuri tu na anafikiria mbali na thats why anataka kujua future yake, there's nothing wrong with thatbado Ana akili za kitoto,
ujadili maisha ya mbeleni na MTU anae resit mtihani wa 4m4
huwezi kuwa serious....
hivi chuo wanawa fundishaga nini?
kuna haja ya walimu kuwafundisha kujitambua!
Maisha ya mbeleni wakat ndio kwanza mpo kwny balehe...soma kwanza mtt dudu lipo tu