dimaa
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 4,012
- 5,428
In such ni kama waya tu alinizungusha, akanambia tayari hapa ushapona. Ila sasa niko kanda ya ziwa, sijui hospitali gani itanifaa? Afu hiyo laki 8 ni kwa jino moja?Hamna vyuma vya laki moja apo alikupiga nenda mloganzila vyuma vyao Ni rahisi kidogo pia Kuna wataalam