Mimi mstaarabu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 258
- 566
Mimi ni msichana nina umri wa miaka 23. Nimemaliza chuo nikaona ngoja nisomee udereva driving school moja hivi hapa Dar. Sasa hapo wanafunza manual tu.
Mpaka sasa nina week moja, tushafundishwa gia ya kwanza ya pili na ya tatu na reverse (gia ya kurudi nyuma).
Kwa ujumla naendelea vizuri kwa kaisi chake lakini nina hofu sana mpaka gari inazima kuna muda uwanjani.
Mwalimu kaniambia nina uwezo wa kufaulu vizuri ila sijiamini na nina hofu sana.
Nilikua ushauri wenu: hivi nitakuja kuwa dereva mzuri kweli? Baada ya mwezi kuisha?
Nifanyeje nisiwe na hofu? Na nijiamini.
Mpaka sasa nina week moja, tushafundishwa gia ya kwanza ya pili na ya tatu na reverse (gia ya kurudi nyuma).
Kwa ujumla naendelea vizuri kwa kaisi chake lakini nina hofu sana mpaka gari inazima kuna muda uwanjani.
Mwalimu kaniambia nina uwezo wa kufaulu vizuri ila sijiamini na nina hofu sana.
Nilikua ushauri wenu: hivi nitakuja kuwa dereva mzuri kweli? Baada ya mwezi kuisha?
Nifanyeje nisiwe na hofu? Na nijiamini.