Niko wilaya ya kwimba napenda kujua kama maharage yanaweza kusitawi vizuri kwenye udongo mweusi (mfinyanzi) maana ninaeneo la aina hiyo na liko karibu na chanzo Cha maji.
Wilaya ya Kwimba, ndani ya Mkoa wa Mwanza. Hii Wilaya ipo nyuma sana aisee. Wewe lima tu mzee , wasukuma wanalima Mahindi na Maharage hapo kwimba miaka nenda rudi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.