pet geo pet
JF-Expert Member
- Jun 30, 2018
- 461
- 644
Wakuu kama kichwa kinavojieleza,mimi ni mhitimu wa shahada ya kwanza katika chuo kikuu kinachotambulika kiserikali katika fani ya uwalimu nikijikita na masomo ya sanaa.
Nimejaribu kuomba kazi katika fani yangu lakini hali sio nzuri kwani sijapata hata shule moja.
Nimeona nibadili njia kwa kuanza kuomba kazi viwandani ingawa fani yangu ni mwalimu.
Naombeni ushauri ni kazi gani zinazonifaa kiwandani kwa mimi mwalimu ili hata nikienda kuonana na muajiri(H.R.M)niweze kumuelezea.
Nakaribisha ushauri wako hasa watu wanaofanya kazi kiwandani ili niweze kupata pakuanzia kwani yote hii inatokana na kukosa mtaji wa kufanyia biashara ili kuepukana na kuuza nguvu kazi.
Asanteni na karibuni wakuu.
Nimejaribu kuomba kazi katika fani yangu lakini hali sio nzuri kwani sijapata hata shule moja.
Nimeona nibadili njia kwa kuanza kuomba kazi viwandani ingawa fani yangu ni mwalimu.
Naombeni ushauri ni kazi gani zinazonifaa kiwandani kwa mimi mwalimu ili hata nikienda kuonana na muajiri(H.R.M)niweze kumuelezea.
Nakaribisha ushauri wako hasa watu wanaofanya kazi kiwandani ili niweze kupata pakuanzia kwani yote hii inatokana na kukosa mtaji wa kufanyia biashara ili kuepukana na kuuza nguvu kazi.
Asanteni na karibuni wakuu.