Kuna sehemu anafanya kazi kwa muda mrefu sasawanawake huwa tuna kasumba ya kuigana. je mmehamia sehemu mpya au je kuna sehemu kaanza kazi.
Nimemwelewa kuwa mavazi hayo siyapendi, amenijibu yeye anapendawanawake huwa tuna kasumba ya kuigana. je mmehamia sehemu mpya au je kuna sehemu kaanza kazi.
Mkuu jiandae ki psychology ushaporwa kiaina.....
Mimi ni mmoja wa hao watu ninaochukia tabia hizi, nyingine ni tabia ya kujichukua video na kuzituma mtandaoni za kurembua rembua huku wakiimba vinyimbo nyimbo
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado anauza, hajapata mteja.Naomba kujua mtu wangu ameanza kuvaa nguo zinazobana (sketi) maungo. Binafsi sipendi kumuona akivaa hizo nguo na hata yeye wakati tunaanza hakuwa anapenda kuvaa nguo za aina hiyo.
Nilimuuliza anasema yeye anapenda kwa kuwa ni fashion, nifanyeje? Kuvaa nguo zinazoshika makalio ina maana gani?
Ila nishamwambia kuwa sitaki avae nguo hizo
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda ingawa hakuna na tabia hiyo awali maana nilimkuta hajaanza hayo mamboBado anauza, hajapata mteja.
Nina wivu ndiyo kwa sababu anakofanya kazi wateja wako mara nyingi wanaumeMleta mada ww ni mume ama bf?
Hupendi akivaa za kubana kwamba hapendezi ama una wivu naye?
MeMleta mada ww ni mume ama bf?
Hupendi akivaa za kubana kwamba hapendezi ama una wivu naye?
Nipe namba yake nimshauri aache mara mojaNaomba kujua mtu wangu ameanza kuvaa nguo zinazobana (sketi) maungo. Binafsi sipendi kumuona akivaa hizo nguo na hata yeye wakati tunaanza hakuwa anapenda kuvaa nguo za aina hiyo.
Nilimuuliza anasema yeye anapenda kwa kuwa ni fashion, nifanyeje? Kuvaa nguo zinazoshika makalio ina maana gani?
Ila nishamwambia kuwa sitaki avae nguo hizo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuvaa nguo za kubana ni dalili ya Uchangudoa, yaani anaanza kujiuza, Nguo nzuri za heshima zinazomtambulisha mwanamke alieolewa zipo nyingi saana, muachishe hiyo kazi kwani ndiko anakoigilizia mambo, akae nyumbani ashinde na madela ili atunze heshima yako.Naomba kujua mtu wangu ameanza kuvaa nguo zinazobana (sketi) maungo. Binafsi sipendi kumuona akivaa hizo nguo na hata yeye wakati tunaanza hakuwa anapenda kuvaa nguo za aina hiyo.
Nilimuuliza anasema yeye anapenda kwa kuwa ni fashion, nifanyeje? Kuvaa nguo zinazoshika makalio ina maana gani?
Ila nishamwambia kuwa sitaki avae nguo hizo
Sent using Jamii Forums mobile app