Naomba ushauri kuhusu gari ya kununua kwa mara ya kwanza

Wa kusoma

JF-Expert Member
Jul 30, 2011
3,454
2,975
Habarini za jioni wadau. Nimejikusanya nimepata kama mil 12 - 14. Malengo yangu nahitaji kununua gari kwa ajiri ya shughuli za kawaida kama kwenda na kurudi kazini, kwenda na familia ibadani, sokoni, kwenda kuwatembelea wazazi mikoani nk.

Hivyo naombeni wataalamu mnipe ushauri wa ni gari gani itanifaa kwa kuanzia kulingana na bajeti hiyo kwa kuzingatia vigezo vifuatavyo.

1. Kumbuka ni gari yangu ya kwanza.
2. Muonekano wa gari ni kipaumbele cha kwanza.
3. IST sio chaguo langu kabisa
4. Ulaji wa mafuta ni suala la pili kuzingatia baada ya mwonekano/shape

Asanteni sana na karibuni kwa mawazo.
 
Tumeshajua hutaki IST,
weka na zile unazozitaka ili iwe rahisikushaulrahisikushaul

Tumeshajua hutaki IST,
weka na zile unazozitaka ili iwe rahisi kushauliwa
Kulingana na bajeti yangu magari nikiyokuwa nafikiria ni Nissan Xtrail, Nissan Tiida, Toyota Volts, Premio, Subaru Forester na brand nyinginezo mtakazonishauri
 
Habarini za jioni wadau. Nimejikusanya nimepata kama mil 12 - 14. Malengo yangu nahitaji kununua gari kwa ajiri ya shughuli za kawaida kama kwenda na kurudi kazini, kwenda na familia ibadani, sokoni, kwenda kuwatembelea wazazi mikoani nk...
mkuu nikuulize kdogo hali barabara ikoje uko unakoishi je barabara ni lami au tambarare tu hadi hom au ni vumbi na mabonde panda shuka hadi hom.

km ni mabondeni usinunue vigari vya chinichini vitakusumbua wkt wa mvua au km ni lazima uwe na gari ya chini hakikisha ni "adjustable" yaani ambayo unaweza kuongeza urefu wa gari kwa kufunga mawe fulani ya aluminium juu ya tairi.

hlf nmeona watu wengi wanaonunua gari ya kwanza mara nying lazima wanunue magari marefu sn km ipsum, nadia. hiyo haina ulazima hata ukiwa na kavitz mle ndani mnatosha hata familia nzima.
 
Habarini za jioni wadau. Nimejikusanya nimepata kama mil 12 - 14. Malengo yangu nahitaji kununua gari kwa ajiri ya shughuli za kawaida kama kwenda na kurudi kazini, kwenda na familia ibadani, sokoni, kwenda kuwatembelea wazazi mikoani nk...
If you are a humble person na kwakua ndo gari la kuanzia, then nunua Suzuki Gimmny tena agiza kutoka nje. Hutojutia ushauri wang.

Nunua gari ya kawaida ambyo n economical na ambyo haitokuumiza kwny maintenance ili upate experience ya kuwa na gari, then baadae Mungu akikujalia uwezo zaid unaweza nunua gari za luxury au show off or whatsoever.

Ila kama kipato chako kwasasa n kikubwa na co pesa za mawazo, just nunua the car of your dream while ukizingatia jiografia ya mazngra unayoish nikimaanisha barabara na urahc wa upatikanaj wa spares.
 
mkuu nikuulize kdogo hali barabara ikoje uko unakoishi je barabara ni lami au tambarare tu hadi hom au ni vumbi na mabonde panda shuka hadi hom.

km ni mabondeni usinunue vigari vya chinichini vitakusumbua wkt wa mvua au km ni lazima uwe na gari ya chini hakikisha ni "adjustable" yaani ambayo unaweza kuongeza urefu wa gari kwa kufunga mawe fulani ya aluminium juu ya tairi.

hlf nmeona watu wengi wanaonunua gari ya kwanza mara nying lazima wanunue magari marefu sn km ipsum, nadia. hiyo haina ulazima hata ukiwa na kavitz mle ndani mnatosha hata familia nzima.
Nipo Dar safari route nyingi itakuwa hapa hapa mjini japokuwa kama nilivyosema naweza kuhitaji kwenda mikoani
 
Nipo Dar safari route nyingi itakuwa hapa hapa mjini japokuwa kama nilivyosema naweza kuhitaji kwenda mikoani
Hapo chukua gari yoyote ndogo ila hakikisha cc iwe chini ya 1500. napendelea Toyota naonaga mafundi wake ni weng na spea sio shida. usinunue demio cjui Mazda, passo, cami/terios, nissan xtrail hizo ni mimba
 
Habarini za jioni wadau. Nimejikusanya nimepata kama mil 12 - 14. Malengo yangu nahitaji kununua gari kwa ajiri ya shughuli za kawaida kama kwenda na kurudi kazini, kwenda na familia ibadani, sokoni, kwenda kuwatembelea wazazi mikoani nk.

Hivyo naombeni wataalamu mnipe ushauri wa ni gari gani itanifaa kwa kuanzia kulingana na bajeti hiyo kwa kuzingatia vigezo vifuatavyo.

1. Kumbuka ni gari yangu ya kwanza.
2. Muonekano wa gari ni kipaumbele cha kwanza.
3. IST sio chaguo langu kabisa
4. Ulaji wa mafuta ni suala la pili kuzingatia baada ya mwonekano/shape

Asanteni sana na karibuni kwa mawazo.

Nunua primio G cc1490
 
Habarini za jioni wadau. Nimejikusanya nimepata kama mil 12 - 14. Malengo yangu nahitaji kununua gari kwa ajiri ya shughuli za kawaida kama kwenda na kurudi kazini, kwenda na familia ibadani, sokoni, kwenda kuwatembelea wazazi mikoani nk.

Hivyo naombeni wataalamu mnipe ushauri wa ni gari gani itanifaa kwa kuanzia kulingana na bajeti hiyo kwa kuzingatia vigezo vifuatavyo.

1. Kumbuka ni gari yangu ya kwanza.
2. Muonekano wa gari ni kipaumbele cha kwanza.
3. IST sio chaguo langu kabisa
4. Ulaji wa mafuta ni suala la pili kuzingatia baada ya mwonekano/shape

Asanteni sana na karibuni kwa mawazo.
Ongeza hela upate subaru forester SH5. But kumbuka zimepanda bei saana kwenye ushuru.. ona ilivyo sasa

Forester ya 2008= 9,435,000
Forester ya 2009= 9,902,267
Forester ya 2010= 10,684,159
Forester ya 2011= 11,256,294
Forester ya 2012= 9,422,177
Forester ya 2013= 9,910,715

hapo bado hela ya kumpa mjapani, bado hela ya clearance, Kwa ufupi unatakiwa kutumia hela ya IST 2 ili kupata forester 1.

wewe hutaki IST basi jikusanye ukae humo.
 
Kwa budget yako iyo ni gar Jamii ya ist tu mkuu...

Kuna mtu kakwambia dualis apo bila 20m hujaipata...

Labda jaribu Noah...
 
Back
Top Bottom