Wa kusoma
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 3,454
- 2,975
Habarini za jioni wadau. Nimejikusanya nimepata kama mil 12 - 14. Malengo yangu nahitaji kununua gari kwa ajiri ya shughuli za kawaida kama kwenda na kurudi kazini, kwenda na familia ibadani, sokoni, kwenda kuwatembelea wazazi mikoani nk.
Hivyo naombeni wataalamu mnipe ushauri wa ni gari gani itanifaa kwa kuanzia kulingana na bajeti hiyo kwa kuzingatia vigezo vifuatavyo.
1. Kumbuka ni gari yangu ya kwanza.
2. Muonekano wa gari ni kipaumbele cha kwanza.
3. IST sio chaguo langu kabisa
4. Ulaji wa mafuta ni suala la pili kuzingatia baada ya mwonekano/shape
Asanteni sana na karibuni kwa mawazo.
Hivyo naombeni wataalamu mnipe ushauri wa ni gari gani itanifaa kwa kuanzia kulingana na bajeti hiyo kwa kuzingatia vigezo vifuatavyo.
1. Kumbuka ni gari yangu ya kwanza.
2. Muonekano wa gari ni kipaumbele cha kwanza.
3. IST sio chaguo langu kabisa
4. Ulaji wa mafuta ni suala la pili kuzingatia baada ya mwonekano/shape
Asanteni sana na karibuni kwa mawazo.