Buti la mkoloni
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 310
- 834
Naombeni ushauri, nipo mbion kuagiza gari na hizo gari tajwa hapo juu ndio machaguo yangu, kikubwa ninachokipendea kutoka ktk hzo gari ni muonekano lakini sina budi kuchagua moja kati ya hizo hvyo naomba msaada wa ushauri wataalam based on technical problem experience.
NB: Ndio itakuwa mara yangu ya kwanza kumilki gari.
NB: Ndio itakuwa mara yangu ya kwanza kumilki gari.