Free Again
Senior Member
- Dec 20, 2015
- 114
- 93
Habari za majukumu!
Jamani naomba kujua ni sehemu gani( mkoa au wilaya) ambayo ni nzuri kwa kilimo chochote iwe mahindi,mpunga,karanga,alizeti nk.
Nataka nijikite rasmi kwenye kilimo ila kabla sijachakua sehemu ya kwenda nimeona niulizie wadau! Penye wengi hariharibiki neno!
Karibu kwa michango ya mawazo, asante!
Jamani naomba kujua ni sehemu gani( mkoa au wilaya) ambayo ni nzuri kwa kilimo chochote iwe mahindi,mpunga,karanga,alizeti nk.
Nataka nijikite rasmi kwenye kilimo ila kabla sijachakua sehemu ya kwenda nimeona niulizie wadau! Penye wengi hariharibiki neno!
Karibu kwa michango ya mawazo, asante!