Apo ndipo unafiq wake ulipo jitokeza mkuuAliposema tu amesoma vitabu vyote vya uislam nkajua huyu ni muongo. Nlipoona tu anazungumzia "Kuruan" nkajua huyu anataka kutufanya watoto
Mnafiq huyo tena wa kiwango cha SGRAnasema kuruan hahahahahahaha na kusali?? Hahahahahahaah huyu mtu bhana
Huyo ni muongoooooo hahahahahha. ApuuzweApo ndipo unafiq wake ulipo jitokeza mkuu
Uzima wa milele, Wakati tunaona makaburi ya Wakristo yamejaa, sawa tu na wasiyo Wakristo, unachekesha wewe.Mkuu!Mimi naamini katika UZIMA WA MILELE kama alivyo ueleza Yesu mwenyewe:-
Yohana 17:3
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.
Lakini sarakasi nyingine sizihitaji hata.
Sio kweli. Ye kasema kasoma madrasa na vitabu vyote kasoma maana yake misingi ya kiislam anayo. Apo naona alikiwa ajapewa jini la kumfanya kuwa mwislMmmmmhhhhhhh
Sawasiku za binadamu aliyezaliwa na mwanamke ni chache Sana za kuishi duniani.
CHAGUA KWA USAHIHI USIJE UKAJA KUSEMA LAITI NINGEJUA.
Akislimu mkristu mnashangalia takbir ila akibadili muislamu kwenda ukristu inakuwa pepo baadhi yenu waislamu mna kazi sanaTafuta hela hayo mapepo ya umaskin dini ya haki Ni uislam tu
Nimekuelewa ila sijasoma shule za katoliki nimekaa hostel tu za wakatoliki ambazo hazitoi mafundisho ya dini labda uwe unaenda kanisani kwao na ukumbuke wakat naenda hiyo hostel tayar nilishabadili jina kuwa la kikristo na kusema baba yangu ni mkristo!Ukifuatilia historia yako...
Umezaliwa kwenye Familia ya Kiislam na kupata ile basic knowledge ya kusoma ( kama Nursery) ambapo kule ni mambo basic na pale ambapo ungetakiwa Usome Quran na kuelewa kilicho andikwa na kilichokusudiwa namaanishwa kuanzia umri wa miaka 13 hivi (ukiwa matured) ukawa umeenda kwenye Shule ya Kikatoliki
Ulipo kwenda sekondary ya wakatoliki, hapo ndio uliweza kupata Mafundisho ya Dini (Kikatoliki) ambapo ukawa ndio mwanzo wako wa kupata mafundisho ya Dini kwa undani na kuelewa kwani pale umekua (matured). Nimeandika hivyo ili ujue kuwa, hakuna kitu cha ajabu sana hapo.
Kwa mtu mwenye hekima nilitegemea uulize kuwa; nimepata mafundisho ya kikatoliki shuleni na natamani Kusoma Elimu ya Kiislam tofauti na ile ya Chekechea ya Kufundishwa/ku kremu kusoma na kuandika; namaanisha mwanafunzi wa Chekechea hawezi kujisifia eti na yeye ameelimika kisa tu amejua kusoma na kuandika
Kwa kufanya hivyo ungeweza kusoma indetail sio ile ya kukremu hata mimi nilisoma hiyo pia ila baadae nikajiona nilipata pengine kama 6% ya nilichotakiwa kujua; baada ya hapo ungeweza kufanya uamuzi sahihi
KWA ELIMU YAKO YA UISLAM LEVO YA CHEKECHEA USIJIWEKE KWENYE KUNDI LA WATU WANAOJUA UISLAM; SOMA!
Waislamu mwenzenu akibadili dini kwenda ukristo mna kasirika sana utafikiri mna hati miliki ya maisha ya kila mtuKwanza nakupa pole sana,umesema umesoma madrasa na unaijua Dini ya kiislamu?kwa mtu anayeijua Dini ya Kiislam hawezi kuja kuomba msaada hapa jukwaani,naamini wewe ungekuwa msaada kwa wengine kuwaingiza kwenye Uisilamu.
Kama kweli ulichokifanya unakijua na malipo yako utakuwa unayajua baada ya kufa kaburini na siku ya kiaama.Kibaya zaidi unadiriki hata kuwapotosha watoto zako unawaingiza kwenye Ukafiri wakati wazazi wako wamekupa kheri zote? Nimejaribu kuandika lakini nashindwa kuuendelea,angalia wanaokupotosha wanakwambia Dini zote ni sawa,wapi na wapi? Nenda kwa wazazi wako ukawaambie kuhusu msimamo wako nazani watakusaidia zaidi
Ninachopinga mimi ni kutishwa kupigwa mkwara kuhusu ukafiri sijui nini! Nimekuja kuomba ushauri wala sina shari na mtu sasa kwanini unijie na hasira? Lakini coment zote nazielewa na nachanganya na zangu! Aman!!Hata mimi nimeliona hili, angalia comment zake kwa wasio kua waislam anazipokea vyema ila ushauri unaotoka kwa waislam anautolea maneno yasiyofaa.
Ikiwa amesema kua anaujua uislamu vyema ili swala angepeleka kwa wenye elimu zaidi viongozi wake wa kiimani, au angeswali hata rakaa mbili kumwomba Allah amuonesha njia iliyo sahihi. Mtume muhamad s.a.w alituusia kuiiomba dua hii yaa muqalib, ....... Ewe mwenyezi Mungu zithibitishe nyoyo zetu ktk dini yetu ya haki. Mbali zaidi aya za mwenyezi Mungu zinatuonesha pia kumuomba Allah asizipotoshe nafsi zetu baada ya kuamini.
Inaumiza kuona muislam tena uliezaliwa ukisema maneno hayo.
Nakushauri katafute elimu zaidi.
Hakika dini ya Allah ni uislamu na kamwe sitojutia kuwa muislam. Allah aniongoze mimi na wewe ktk haqqi mpka mwisho wetu na siku ya kiyama atujalie tuwe miongoni mwa wale watakao pokea kitabu chake kwa mkono wa kulia. Amiin
Ukweli unao wewe mkuuHuyo muongoooo
Duh! Sikua najua hilo
Mzungumzaji mbona tayari ulishabadili dini kitambo unatafuta ushauri gani kaka wa mie???
Kulingana na islamic theology, Kitendo tu cha wewe kwenda kuombea, kuwapeleka wanao Kanisani na kuitakidi kwako unajisikia amani kanisani kuliko kwingine WEWE TAYARI NI MKIRISTO.....
Wataka wajumvi ILA KWA KADRI NINAVYOJUA IMANI ya KIISLAM WEWE TAYARI ULISHATOKA KITAMBO NA WALA SIYO MUISLAM
Ukizijua wewe inatosha! Japo najua nguzo za iman na nguzo za uislam pia!Umesoma uislam vitabu vyote halafu has nguzo tu za imani huzijui???
Amen!Rafiki upo SEHEMU sahihi,ukristo haitoshi tu Bali taka kuwa ndani ya yesu kristo mwenyewe,aingie ndani yako atawale maisha yako.
Kinacho weza kukuokowa na hukumu ya Mungu ya milele kwenye ziwa la moto ni yesu kristo pekee ,si zehebu au mapokeo.
Historian Iko hivi
Ukristo=umepitia Kwa uzao wa Sara, mke mkubwa
Uislam= ni Kwa yule mjakazi bimdogo
Ko Mungu alimuahidi Ibrahim agano lake ni Kwa uzao wa bimkubwa, mpaka akazaliwa yesu.
Ahadi ya Mungu ikatimia.
Ko hapo ni sawa na kusema umetoka ule upande wa bimdogo ukaja upande wa bimkubwa .
Haha muache aje kwa Yesu.Kwanza nakupa pole sana,umesema umesoma madrasa na unaijua Dini ya kiislamu?kwa mtu anayeijua Dini ya Kiislam hawezi kuja kuomba msaada hapa jukwaani,naamini wewe ungekuwa msaada kwa wengine kuwaingiza kwenye Uisilamu.
Kama kweli ulichokifanya unakijua na malipo yako utakuwa unayajua baada ya kufa kaburini na siku ya kiaama.Kibaya zaidi unadiriki hata kuwapotosha watoto zako unawaingiza kwenye Ukafiri wakati wazazi wako wamekupa kheri zote? Nimejaribu kuandika lakini nashindwa kuuendelea,angalia wanaokupotosha wanakwambia Dini zote ni sawa,wapi na wapi? Nenda kwa wazazi wako ukawaambie kuhusu msimamo wako nazani watakusaidia zaidi
Acha makasiriko ndo kashaamua mwenyewe usimpangiee tena wewe ndo kafiri mkubwa kama imekuuma kajinyonge uende uko kwa mtume ukamuelezee vizuri
jamanHaha muache aje kwa Yesu.
huenda hajapendezwa na ahadi ya mabikra
Allah alitaka kiumbe mwingine asujudiwe ?Siyo mimi,hilo jina alilowaita ni yule aliyewaumba mumuabudie,nyie mkaenda kuwaabudu wasiyostahili kuabudiwa, ole wenu siku yaja,Ebu jiulize shetani alifukuzwa peponi sababu tu,ya kukataa kumsujudia Adamu,je wewe unayekataa kumuabudu mwenyezi Mungu itakuwaje?