Tripo9
JF-Expert Member
- Sep 9, 2009
- 4,352
- 3,533
Mkuu Tripo9
Endapo kama unatumia satelite dish inayotumia ving'amuzi vya Free to Air(FTA channel) kama Media com au strong vp matangazo ya mpira pale siwezi kupata free au kama ni ya kulipia naweza kupata kwa kiasi gani??
Kwa kweli hapa sina utaalamu. Lakini mambo ya free to air. yaani neno free, neno promotion neno lipia upate bure ni maneno sitakagi wala kuyasikia kwa sababu ni uzushi wa kijinga. Na wala usiwasikilize wajinga wa startimes au ting au wajinga wowote eti wataonyesha mpira wa majuu. Ni upuuzi mtupu. Jipige weka dstv simamia biashara yako hii waweza toka.
Kuna kitu nasikia sijui Arab sat sijui nini nasikia hii kitu ni nzuri na cheap pia. Ila gharama za mwanzo za kufungiwa ni za juu sana.
Unalipa kama laki tisa, wanakufungia upuuzi woooote halafu baada ya hapo kila mwaka, narudia tena kila mwaka unakua unalipa kama dolla 40 na unalipiA KWENYE MTANDAO hiyo pesa.
Ila hii kitu nimesikia tu, kuna ndugu yangu anajishughulisha na dili hizi A-town, ila kokote anafunga. Mimi hii huduma siiitumii
Mimi ntumia tu dstv kwa matumizi yangu binafsi
Thanx