Naomba ushauri kuhusu biashara ya bucha

Pole sana. Hii ni kawaida. Mahesabu ya biashara kwenye daftari na kufanya biashara ni vitu viwili tofauti kabisa. Biashara yoyote, hasa hizi za nchi zetu za kiafrika zina details ndogo ndogo nyingi ambazo bila kuifanya huwezi kujua. Kwa mfano hii ya nyama unaweza kuambiwa ''unaenda machinjioni unanunua kila 100....''. Ule ujuzi tu wa kununua nyama nzuri ni kipengele kimoja.
Nikweli mkuu
 
Bingwa wa vifaa vya butcha nipo ilala amana....
0654567777/0779420000. Number zote zipo whatsapp
20210429_115344.jpg
20200717_121012.jpg
 
Kwahiyo mkuu tusiombe ushauri na uzoefu?

Taarifa ni muhimu ili kutoa ukungu, kisha unazama ndichi kwa ajili ya upembuzi yakinifu…. na ushauri ni rahisi kupata JF kuliko site ambako wamiliki wa mabucha huwakuti.
Bata mkimchunguza sana hutamla mkuu.
 
Back
Top Bottom