usser
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 13,901
- 13,869
Sasa njoo fieldHesabu rahisi adi raha
Sasa njoo fieldHesabu rahisi adi raha
Hata hicho kigogo inabid uwe nachoNimekuelewa sana mkuu Equation x, nashukuru pia…. ila hapo kwenye gogo naona msumeno ni poa zaidi.
Nitajaribu kujua bei yake.
Nikweli mkuuPole sana. Hii ni kawaida. Mahesabu ya biashara kwenye daftari na kufanya biashara ni vitu viwili tofauti kabisa. Biashara yoyote, hasa hizi za nchi zetu za kiafrika zina details ndogo ndogo nyingi ambazo bila kuifanya huwezi kujua. Kwa mfano hii ya nyama unaweza kuambiwa ''unaenda machinjioni unanunua kila 100....''. Ule ujuzi tu wa kununua nyama nzuri ni kipengele kimoja.
Bingwa wa vifaa vya butcha nipo ilala amana....
0654567777/0779420000. Number zote zipo whatsapp View attachment 1815958View attachment 1815959
Hata hicho kigogo inabid uwe nacho
Maana Kwan mifupa utasagiasagia
Wapi Kama huna hicho kigogo
Bata mkimchunguza sana hutamla mkuu.Kwahiyo mkuu tusiombe ushauri na uzoefu?
Taarifa ni muhimu ili kutoa ukungu, kisha unazama ndichi kwa ajili ya upembuzi yakinifu…. na ushauri ni rahisi kupata JF kuliko site ambako wamiliki wa mabucha huwakuti.