mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 7,642
- 9,711
Unatafuta namba za simu za wataalamu watatu unawaelezea shida yako kisha wakuelezee chanzo cha tatizo.Unagunduaje chanzo Cha tatizo Mana mambo aliyosema mleta uzi nami yananikabili ivyo ivyo. Na wasi wasi kama Kuna uchawi au ancestral energy
Kila mmoja akishatoa majibu unalinganisha kama yanafanana.
Mwanzoni ukianza kuongea nao wakikwambia njoo tuongelee ofisini usikubali watakupiga pesa waambie umesafiri kisha mchat tu.
Gharama zao baadhi ni bure wengine watakwambia uchangie elfu 5 au elfu 10 tu.