Naomba ushauri, kijana wangu amepewa 'suspension' na bado mwezi mmoja ahitimu kidato cha nne

infinix2020

Member
Dec 30, 2020
71
146
Kijana wangu amepewa suspension Shuleni kwa makosa mawili ambayo ni

1. Kukutwa na simu Shuleni
2. Aligoma kuleta mzazi (aliogopa kuniambia kama naitwa Shuleni japo alipewa barua aniletee)
3. Alimrushia ngumi Mwalimu wake baada ya jaribio la kumuadhibu kwa viboko.

Nilipokwenda Shuleni nikakuta ana kesi nyingine ya kumrushia ngumi mwalimu mwingine tena tukio alilifanya mwezi wa 4 mwaka huu, lakini walimu walimsamehe kwa kumpa adhabu tu.

Sasa naomba ushauri nifanyaje kijana wangu asamehewe ili aendelee na masomo maana yupo kidato cha Nne amebakiza mwezi mmoja ahitimu.
 
Kijana wangu amepewa suspension Shuleni kwa makosa mawili ambayo ni

1. kukutwa na simu Shuleni
2.Aligoma kuleta mzazi (aliogopa kuniambia kama naitwa Shuleni japo alipewa barua aniletee)
3. Alimrushia ngumi Mwalimu wake baada ya jaribio la kumwadhibu kwa viboko.

Nilipokwenda Shuleni nikakuta ana kesi nyingine ya kumrushia ngumi mwl mwingine tena tukio alilifanya mwezi wa 4 mwaka huu, lakini walimu walimsamehe kwa kumpa adhabu tu
Sasa naomba ushauri nifanyaje kijana wangu asamehewe ili aendelee na masomo maana yupo kidato cha Nne amebakiza mwezi mmoja ahitimu.
sasa hapo ukitafuta msaada wa kisheria ni kama unasema adhabu imekosewaaya waliomfundisha miaka minne kawapia,hao wasimamizi ambao hata hawajui si ndo atawachakaza kabisa hadi washindwe kuona

ok,mtafute mwl mkuu umuulize nini ufanye kupata kheri,Mfanye afeel yeye ndo tumaini pekee ulilobaki nalo...

Wait....Mwanao anasemaje kwanza?maana utaforce afu siku ya mtihani hatokei(kaipgana na konda kaamua arudi tu nyumbani)

Mkuu kete ya ushindi hapo ni mwl,ukiweza kumfanya afeel ni mtu muhimu,atakupa mbinu na kuconvice wengine(sio kumpa hela,show him that you regret what your son has done,that you want to do that for him as a father not just bse you love your niger son)
 
Back
Top Bottom