haloo
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 569
- 217
Habari wanajamvi
Mimi ni miongoni mwa wahitimu wa chuo kikuu mwaka huu katika fani ya elimu wa masomo Economics na Geography.na form six nilisoma kombi ya HGE yaani History,Geography na Economics.
Kutokana na matamko yalioyotokea siku chache zilizopita kuhusu serikali kutoa ajira kwa walimu wa sayansi tu.Nimetafakari sana nimeamua kurudi nyuma na kuamua kurudia mtihani wa form six lkn kwa kombi ya EGM kwa kuliongeza somo la Mathematics.Ili nisome diploma ya Elimu kwa Masomo ya Geograph na Mathematics ili niweze kupata ajira serikalini kwa sababu nikifiria niweze kujiajiri inashindikana sababu ya mtaji.
Na vile vile Matokeo yangu ya Form four ni mazuri sana masomo yoote nimefaulu ikiwemo na Yale yoote ya sayansi .Nimeamua kusoma EGM kwa sababu katk masomo hayo yoote ninamsingi nayo hususani Geography na Economic s na vile vile hata hilo la Mathematics ninamsingi kidogo wa BAM
Mimi ni miongoni mwa wahitimu wa chuo kikuu mwaka huu katika fani ya elimu wa masomo Economics na Geography.na form six nilisoma kombi ya HGE yaani History,Geography na Economics.
Kutokana na matamko yalioyotokea siku chache zilizopita kuhusu serikali kutoa ajira kwa walimu wa sayansi tu.Nimetafakari sana nimeamua kurudi nyuma na kuamua kurudia mtihani wa form six lkn kwa kombi ya EGM kwa kuliongeza somo la Mathematics.Ili nisome diploma ya Elimu kwa Masomo ya Geograph na Mathematics ili niweze kupata ajira serikalini kwa sababu nikifiria niweze kujiajiri inashindikana sababu ya mtaji.
Na vile vile Matokeo yangu ya Form four ni mazuri sana masomo yoote nimefaulu ikiwemo na Yale yoote ya sayansi .Nimeamua kusoma EGM kwa sababu katk masomo hayo yoote ninamsingi nayo hususani Geography na Economic s na vile vile hata hilo la Mathematics ninamsingi kidogo wa BAM