Umempa ukweli, nimevuta kitu mwezi january toka sbt japan kama kilivyo kwenye mtandao ndivyo nilivyoletewa hata ushuru ikawa hiyohiyo.La kuongezea unapoagiza gari uwe na subira ya kutosha wanaosema mwezi 1 au siku 40 ni waongo.Nenda/agiza mwenyewe. Omba aina mbali mbali (idadi kubwa) ya aina unayoitaka. Mfano Kama umetaka Premio. Waambie wakutumie mawili, matatu au zaidi. Hata hivyo si lazima utakapotumiwa, si lazima ununue hilo hilo. Jipe muda wa kujielimisha Kama linakidhi mahitaji yako...
SBT na be forward Wana ofisi zao hapa Tanzania.
Kama unataka kuagiza gari Bora ufanye biashara na hizo kampuni mbili
Be forward nao wanakuwa na punguzo kuanzia USD 200-300Faida ya kuagiza gari mwenyewe unapata discount kubwa..ukienda kwenye hayo maofisi unapigwa bei hata discount utapewa ya kishikaji tu lakini ukikomaa mwenyewe discount inafika hadi dola 500 kutegemea na T&C applied.
Hakikisha unaagiza mwenyewe. Heshimu/zingatia kikokotozi cha ushuru cha TRA. Unaweza pia kupata ushauri wa ziada humu jamvini au kwa mawakala wa kutoa mizigo bandarini.Ni heri ukaagiza tu mwenyewe, na kuna makampuni kama Sbt, enhance ama be forward. Wapo vizuri sana.
Kipindi fulani, kuna mtu aliwahi kuagiza ila changamoto ikawa ni namna sasa ya kulipa ushuru wa hiyo gari.
Katika kuhangaika huku na kule, akakutana na mtu ambaye huwa anasaidia kwenye ulipaji wa ushuru, halafu wewe unamrejeshea kwa awamu mbili.
Ila waliandikishiana, na gari kama sikosei jamaa alielipiwa ushuru alibakia nayo.
Vp Kama mtu atanitumia zawadi ya gari toka America ,& Germany anaweza ituma pitia kampuni na ushuru wake unakuajeHakikisha unaagiza mwenyewe. Heshimu/zingatia kikokotozi cha ushuru cha TRA.
Unaweza pia kupata ushauri wa ziada humu jamvini au kwa mawakala wa kutoa mizigo bandarini.
Kama huwajui tushirikishe tukueleze.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni kweli, watu husema siku 45 tu lakini utasubiri hadi miezi miwili ndio kitu kitimbe mjini, patience is needed.Umempa ukweli, nimevuta kitu mwezi january toka sbt japan kama kilivyo kwenye mtandao ndivyo nilivyoletewa hata ushuru ikawa hiyohiyo.La kuongezea unapoagiza gari uwe na subira ya kutosha wanaosema mwezi 1 au siku 40 ni waongo.
Ushuru haujali gari umelipataje. Unazingatia thamani ya gari kwa mujibu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).Vp Kama mtu atanitumia zawadi ya gari toka America ,& Germany anaweza ituma pitia kampuni na ushuru wake unakuaje
Sent using Jamii Forums mobile app
Mara nyingi hazizidi siku 45 ingawaje zinaweza kuzidi au kupungua. Hii ni kwa sababu baada ya kununua gari wanaanza kutafuta meli iliyo na nafasi, ikiwaninapita hapa kwetu.Hii ni kweli, watu husema siku 45 tu lakini utasubiri hadi miezi miwili ndio kitu kitimbe mjini, patience is needed.
Mara nyingi hazizidi siku 45 ingawaje zinaweza kuzidi au kupungua. Hii ni kwa sababu baada ya kununua gari wanaanza kutafuta meli iliyo na nafasi, ikiwaninapita hapa kwetu.
Pia wanaangalia nafuu ya gharama za usafirishaji.
Sijawahi kuagiza gari likazidi siku 45. Hata hivyo kukawia ukapata kitu bora ji tofauti na kuharakisha ukapata boga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakikujibu hili nitag na mimiNiko Zanzibar kikazi na familia iko Dar, nataka kuagiza gari kutoka nje ili niipeleke Dar kwa wife.
Ipi ni njia nzuri, kuagiza kupitia Zanzibar au Dar moja kwa moja kwa zingatia terms na conditions za TRA?
Msaada tafadhali kwa wenye ufahamu wa hili.
Sent using Jamii Forums mobile app