nyani mkindu
JF-Expert Member
- Aug 30, 2017
- 537
- 975
Gari nzuri Starlet haili mafuta
Inahama kivipi? Kwanini ihame Harrier na sio Kluger?Nunua Kluger V mkuu. Harrier haichelewi kuhama barabara. Haina adabu hata kidogo
Kwa nijuavyo Harrier na Kluger:Wakuu, nimejipanga kwa muda wa kutosha na sasa naona naweza kujipatia usafiri wangu wa kueleweka. Kuna gari hizi mbili zote nazipenda sana. Naomba kushauriwa na wenye uzoefu na uelewa mkubwa wa hizi gari mbili ni ipi wanaona ni nzuri zaidi? Suala la mafuta sio tatizo, lakini uimara wa gari na hadhi ya gari na gharama ya gari. Nimetenga bajeti ya milioni ishirini na tano mpaka thelathini kwa mchakato wote.
Karibuni tushauriane.
Ameshasema fuel sio tatizo kwake mkuu!!Kluger nadhani huwa zina gia 4, so expect fuel consumption to be high. For me Harrier ndio mpango mzima haza zile zenye engine ya vvti
Tatizo lingine la Subaru ni kuwa se-sale value yake iko chini. Kwa hiyo siku ukitaka kubadilisha gari, litanunuliwa kwa bei ya chini.Mkuu, siku hizi kuna Subaru Forester SUV, engine 2.0L iko juu kama Kluger.
Hivi hizi new model zinaanzia mwaka gani? Je bajeti yangu ya 30M itaweza kunipa hiyo new model lakini kilometa zake zisizidi 100,000?Nimewahi panda Kluger, Harrier sijawahi. Ila kwa muonekano zile Harrier new model zinaita sana
Trust me, hizi Harrier na Kluger, kila kitu ni kile kile, kuanzia engine na kila kitu. Wametofautisha majina na muundo tu basi.Hapo umetupa kitu tofauti ambacho sikuwa nakifahamu kabisa! Ina maana tofauti ya Harrier na Kluger ni body tu? Zina injini sawa, gear box sawa, nk? Hebu fafanua kidogo. Ina maana kwa kiasi kikubwa hata spea zake zinaingiliana?
Kluger 4 ni very economical kwenye mafuta, ina piston nne! Sawa na CarinaKluger nadhani huwa zina gia 4, so expect fuel consumption to be high. For me Harrier ndio mpango mzima haza zile zenye engine ya vvti
Kwa sababu unawakimbiasina gari sijawai kumilika hata baiskeli ina hamuwezi kuamini ni magari machache sana sijawai kupanda.yaani machache . hizi lift hizi saa zingine ukute kuna watu wanaiba nyota yangu ya kumiliki gari wakinipa lift.kwanini nipande magari makali makali ya wenzangu na kuishia kupiga honi tu na kupungia watu? why?
Mimi sitamiliki gari isiyo SubaruGari kwangu ni Subaru Tu
Ila mimi sipeni tu body yake. Harrier ipo vizuri ila issue ni kwenye fuel consumption, ila kwa kuwa mwenyewe kasema fuel sio tatizo, achukue tu.Kluger 4 ni very economical kwenye mafuta, ina piston nne! Sawa na Carina