mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,663
- 18,036
- Thread starter
- #41
Huko 35m kwa sasa siwezi kufika.Kulinunua inategemea na unataka la namba gani ila kama bei yapo mpaka ya M16. Ila kama ni new model andaa kuanzia 35 na kuendelea mkuu.