Nimiezi sita ss tangu nifungua duka mkoani,nimeajiri wafanyakazi wawili ila mmja hana majibu mazuri kwa wateja mpaka biashara kimapato imepungua sana.juu ya tabia yake wateja ndio wamenipigia simu sbb nimeweka business card zangu pale.pia sio mzuri katika utanzaji wa document nafikiria kuchua uamuzi wa kufukuza kazi sbb kama unavyo juwa mtaji wanyewe ni watabu mpaka nimepata wana jf nifanyaje sbb inanifanya kichwa kinauma sana.naomba ushauri kwa hili juu ya tatizo hili