Naomba ushauri juu ya mfanyakazi wa duka la copy

wanan

Senior Member
May 11, 2011
141
40
Nimiezi sita ss tangu nifungua duka mkoani,nimeajiri wafanyakazi wawili ila mmja hana majibu mazuri kwa wateja mpaka biashara kimapato imepungua sana.juu ya tabia yake wateja ndio wamenipigia simu sbb nimeweka business card zangu pale.pia sio mzuri katika utanzaji wa document nafikiria kuchua uamuzi wa kufukuza kazi sbb kama unavyo juwa mtaji wanyewe ni watabu mpaka nimepata wana jf nifanyaje sbb inanifanya kichwa kinauma sana.naomba ushauri kwa hili juu ya tatizo hili
 
Nimiezi sita ss tangu nifungua duka mkoani,nimeajiri wafanyakazi wawili ila mmja hana majibu mazuri kwa wateja mpaka biashara kimapato imepungua sana.juu ya tabia yake wateja ndio wamenipigia simu sbb nimeweka business card zangu pale.pia sio mzuri katika utanzaji wa document nafikiria kuchua uamuzi wa kufukuza kazi sbb kama unavyo juwa mtaji wanyewe ni watabu mpaka nimepata wana jf nifanyaje sbb inanifanya kichwa kinauma sana.naomba ushauri kwa hili juu ya tatizo hili

(kwenye red)Bado unafikiria tuu,kwa nini usichukue hatua?
 
Kupata mwaminifu,mchapakazi, mkarim kwa wateja ni kazi sana.Kabla biashara haijaharibika nakushauri tafuta kijana atakayekufanyia kazi vizuri.Namshukuru Mungu nina kijana anayenifanyia kazi vizur sn.
 
Nimiezi sita ss tangu nifungua duka mkoani,nimeajiri wafanyakazi wawili ila mmja hana majibu mazuri kwa wateja mpaka biashara kimapato imepungua sana.juu ya tabia yake wateja ndio wamenipigia simu sbb nimeweka business card zangu pale.

Pia sio mzuri katika utanzaji wa document nafikiria kuchua uamuzi wa kufukuza kazi sbb kama unavyo juwa mtaji wanyewe ni watabu mpaka nimepata wana jf nifanyaje sbb inanifanya kichwa kinauma sana.naomba ushauri kwa hili juu ya tatizo hili

Suluhisho la matatizo hayo si kumfukuza kazi. labda kwanza nikuulize wewe binafsi umeshachukua jitihada gani za kutatua hayo matatizo yao, tofauti na hilo wazo la kufukuza kazi? Mkuu, mapungufu hayo yote yanarekebishika, sasa badala ya kufukuza nakushauri uwekeze katika uelewa na perfomance wa wafanyakazi wako.

Wasipofundishika na kuelewa, na kuyakataa mabadiliko basi find her replacement, lakini nawe ubadilishe vigezo ulivyotumia kumpata huyo mfanyakazi wako
 
Suluhisho la matatizo hayo si kumfukuza kazi. labda kwanza nikuulize wewe binafsi umeshachukua jitihada gani za kutatua hayo matatizo yao, tofauti na hilo wazo la kufukuza kazi? Mkuu, mapungufu hayo yote yanarekebishika, sasa badala ya kufukuza nakushauri uwekeze katika uelewa na perfomance wa wafanyakazi wako.

Wasipofundishika na kuelewa, na kuyakataa mabadiliko basi find her replacement, lakini nawe ubadilishe vigezo ulivyotumia kumpata huyo mfanyakazi wako
Tahadhari mkuu, kama mfanyakazi ni binti na jamaa ameishamla ni vigumu sana kurekebishika...

Huenda hata kiburi na majibu ya hovyo kwa wateja ni kwa kuwa anahisi ana shea na boss wake. Dawa yake ni kufukuza tu na kuokoa biashara
 
Mkuu Hili ni Tatizo kubwa sana kwa Watanzania wengi/wafanya biashara, Watanzania wengi tumekuwa tukijairi watu kiholela sana kisa

1. Tunawafahamu
2. Ni ndugu zetu
3. Ni majirani
4. Gilr/Boy friend

Unapo taka kuajiri jaribu kwanza kufanya haya.
1. Tafuta mfanyakazi ambaye ana kiasi fulani cha elimu kulingana na kazi atakayo fanya,

2. Mpe semina ya umuhimu wa Biashara yako na mwambie hii biashara ndo itakayo endesha maisha yako na yangu

3. Mpatie elimu ya kuwahudumia wateja, kama huna elimu hiyo tafuta kampuni au NGOs zinazo dili na elimu ya Ujasiriamali wambie wakufundishie wafanya kazi wako jinsi ya kuwahudumia wateja,
- Hapa usiogope kutoa pesa mkuu ni lazima utoe pesa ili wafanya kazi wako wapate orientation nzuri sana

4. Mpatie elimu ya kutenganisha Mambo binafisi na Biashara, mwambie biashara haichanganywi na kitu chochote kile na inajitegemea kama biashara.

KWA KIFUPI USIAJIRI MTU LEO NA KESHO UNAMKABIDHI OFISI NA MATOKEO YAKE NI HAYA

1. Wafanyakazi kutimia muda mwingi sana kusoma magazeti ya Udaku kazini

2. Muda mwingi ni kuchati na simu

3. Kuweka Headphone masikioni

4. Kupiga story za umbea na marafiki zake maeneo ya kazi

5. Kutembelewa na wageni muda wa kazi

6. Kuto kuwa mchangamfu wakati wa kuwahudumia wateja

Haya na mengine mengi sana yanasababishwa na waajiri na si wafanya kazi, kwa sababu hukumpa elimu yoyote ya jinsi ya kudili na wateja, ya jinsi ya ku keep time, jinsi ya kupunguza ghalama za kuendesha biashara na kazalika
 
vitu vingine havihitaji ushauri!!!kama wewe ushaona anatofautiana na wateja unachukua hatua mara moja!!!au ana hisa kwenye hiyo biashara!!!!USIMFUKUZE!
 
Tahadhari mkuu, kama mfanyakazi ni binti na jamaa ameishamla ni vigumu sana kurekebishika...

Huenda hata kiburi na majibu ya hovyo kwa wateja ni kwa kuwa anahisi ana shea na boss wake. Dawa yake ni kufukuza tu na kuokoa biashara

Mkuu hayo yote na mengine mengi, kama aliyoyasema Chasha yalikuwa kichwani, ndio maana nikasema
Wasipofundishika na kuelewa, na kuyakataa mabadiliko basi find her replacement, lakini nawe ubadilishe vigezo ulivyotumia kumpata huyo mfanyakazi wako
 
Mfukuze of course ila fuata taratibu za kisheria za kumfukuza mtu.
 
Back
Top Bottom