EZZ CHEZZ
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 1,230
- 1,352
Hello JF.
Nimeanza uzalishaji wa mchicha lishe miezi michache iliyopita hapa Kyela mjini. Takribani kola kitu kinaenda sawa. Mimi hutumia samadi na kuvuna mchicha kila baada ya siku 15 - 20.
Sasa nimeanza kupata changamoto kwenye upatikanaji wake. Mbali na kutumia muda mwingi kuzunguka kwenye mabanda ya watu ambao wengine huiuza, sasa tunaelekea masika ambapo kuipata itakuwa shughuli.
Hivyo ninaomba ushauri/maarifa na uzoefu juu ya matumizi ya mbolea za dukani.
Je ni sahihi kutumia?
Gharama zake zikoje?
Ni mbolea gani hasa?
Zinatumikaje?
Vipi kuhusu ubora wa mazao?
Athari zake kwenye udongo ni zipi?
Nawasilisha.
Nimeanza uzalishaji wa mchicha lishe miezi michache iliyopita hapa Kyela mjini. Takribani kola kitu kinaenda sawa. Mimi hutumia samadi na kuvuna mchicha kila baada ya siku 15 - 20.
Sasa nimeanza kupata changamoto kwenye upatikanaji wake. Mbali na kutumia muda mwingi kuzunguka kwenye mabanda ya watu ambao wengine huiuza, sasa tunaelekea masika ambapo kuipata itakuwa shughuli.
Hivyo ninaomba ushauri/maarifa na uzoefu juu ya matumizi ya mbolea za dukani.
Je ni sahihi kutumia?
Gharama zake zikoje?
Ni mbolea gani hasa?
Zinatumikaje?
Vipi kuhusu ubora wa mazao?
Athari zake kwenye udongo ni zipi?
Nawasilisha.