Bab fei
Member
- Apr 16, 2020
- 25
- 25
Hello,
Mimi ni kijana mwenye umri 26. Muhitimu wa shahada ya ualimu Chuo Kikuu cha Dar es Salaam mwaka 2016.
Nategemea kujiunga mwaka huu shahada ya pili ya development studies sasa wakuu naomba ushauri wa masters ya development studies.
Zipi faida zake kwenye soko la ajira.
First degree GPA 3.9
Mimi ni kijana mwenye umri 26. Muhitimu wa shahada ya ualimu Chuo Kikuu cha Dar es Salaam mwaka 2016.
Nategemea kujiunga mwaka huu shahada ya pili ya development studies sasa wakuu naomba ushauri wa masters ya development studies.
Zipi faida zake kwenye soko la ajira.
First degree GPA 3.9