Naomba ushauri juu ya kilimo cha Cocoa Morogoro

May 25, 2009
32
16
Habari zenu wanajukwaa. Nipo Arusha lakini nimepata shamba kama hekari 30 huko morogoro mbele kidogo ya mji wa ifakara panaitwa Ihowanja. Napenda sana kulima kokoa ila sina hakika kama hali ya hewa ya Morogoro ni rafiki kwa kilimo cha kokoa. Ningependa kulijua hilo. Na pia naomba msaada kwa yafuatayo,

1. Je ni muda gani kokoa inachukua toka kupandwa mpaka kuvuna?
2. Maandalizi ya shamba yapo vipi?
3. Vipi kuhusu pembejeo?
4. Je naweza vipi kupata miche ya kokoa?
5. Vipi michumo yake kwa misimu ya mwaka?
6. Naweza kuuchuma mche wa kokoa kwa muda gan mpaka utakapo choka?
7. Vipi soko ni la uhakika?
8. Mabadiliko ya bei ni makubwa?
9. Ni michakato gani ya kufanya wakati wa kuindaa kokoa kuipeleka sokoni?
Kwa kunisaidia zaidi na ushauri tafadhali wasiliana nami kwa namba hii 0716798844,0756981717
 
Habari zenu wanajukwaa. Nipo Arusha lakini nimepata shamba kama hekari 30 huko morogoro mbele kidogo ya mji wa ifakara panaitwa Ihowanja. Napenda sana kulima kokoa ila sina hakika kama hali ya hewa ya Morogoro ni rafiki kwa kilimo cha kokoa. Ningependa kulijua hilo. Na pia naomba msaada kwa yafuatayo,
1. Je ni muda gani kokoa inachukua toka kupandwa mpaka kuvuna?
2. Maandalizi ya shamba yapo vipi?
3. Vipi kuhusu pembejeo?
4. Je naweza vipi kupata miche ya kokoa?
5. Vipi michumo yake kwa misimu ya mwaka?
6. Naweza kuuchuma mche wa kokoa kwa muda gan mpaka utakapo choka?
7. Vipi soko ni la uhakika?
8. Mabadiliko ya bei ni makubwa?
9. Ni michakato gani ya kufanya wakati wa kuindaa kokoa kuipeleka sokoni?
Kwa kunisaidia zaidi na ushauri tafadhali wasiliana nami kwa namba hii 0716798844,0756981717

Kama uko makini,nenda Ifakara kijiji kinaitwa Mbingu, pale kuna taasisi iko chini ya Parokia ya Mbingu inaitwa MOCOA,yaani Mbingu organic cocoa association,ipo pale Parokiani.

Ukifika pale utapata majibu ya maswali yako yote.
 
Kama uko makini,nenda Ifakara kijiji kinaitwa Mbingu, pale kuna taasisi iko chini ya Parokia ya Mbingu inaitwa MOCOA,yaani Mbingu organic cocoa association,ipo pale Parokiani.

Ukifika pale utapata majibu ya maswali yako yote.
Umempa msaada mkubwa sanaa
 
cocoa inastawi ukanda wa joto na wa baridi pia ila zina tofauti.Ukanda wa Joto matunda yanawahi kuiva ila yanakuwa machache,ukanda wa baridi matunda yanakuwa mengi ila yanachelewa kuiva
Ahsante.inachukua muda gani kuzaa toka inapopandwa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom