funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,559
- 21,036
Jana nilikuwa nasafiri kutoka Dar kwenda Moro njiani maeneo ya karibia na Moro kwenye ofisi za TAFORI nilikamatwa na trafiki akaniambia nilizidisha speed maeneo ya Kingulwira na kuna askari alinipiga tochi.
Tulikamatwa kama magari 10 hivi ingawa mimi nilikuwa makini sana na spidi na nina uhakika sikuzidisha kwani hiyo sehemu aliyonitajia nilisimama kuangalia eneo langu kisha nikaendelea na safari
Je katika hali hiyo ni sahihi kumkamata mtu eneo ambalo kwenye camera ( ililetwa baada ya kugoma kulipa hela). Halionyeshi exactly ni sehemu gani maana hakuna nyumba na hakuna uthibitisho kama hiyo picha ilipigwa sehemu hiyo au lah. Nililipa hela faini baada ya kuona wameshikilia leseni yangu kwa saa nzima na mimi nilikuwa na haraka.
Askari aliyepiga picha hakuwa na unifomu na pia ndio aliyeniandikia faini. Nachofanya nataka nikamshitaki kesho natafuta ushauri wa kisheria maana aliandika jina lake na sahihi kwenye ile notification ambayo pia nitaenda kuikatia risiti.
Dhumuni la kumshitaki ni kukomesha uonevu huu
Tulikamatwa kama magari 10 hivi ingawa mimi nilikuwa makini sana na spidi na nina uhakika sikuzidisha kwani hiyo sehemu aliyonitajia nilisimama kuangalia eneo langu kisha nikaendelea na safari
Je katika hali hiyo ni sahihi kumkamata mtu eneo ambalo kwenye camera ( ililetwa baada ya kugoma kulipa hela). Halionyeshi exactly ni sehemu gani maana hakuna nyumba na hakuna uthibitisho kama hiyo picha ilipigwa sehemu hiyo au lah. Nililipa hela faini baada ya kuona wameshikilia leseni yangu kwa saa nzima na mimi nilikuwa na haraka.
Askari aliyepiga picha hakuwa na unifomu na pia ndio aliyeniandikia faini. Nachofanya nataka nikamshitaki kesho natafuta ushauri wa kisheria maana aliandika jina lake na sahihi kwenye ile notification ambayo pia nitaenda kuikatia risiti.
Dhumuni la kumshitaki ni kukomesha uonevu huu