Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,319
unavyoandika ni kama wamuona house gal ndio mkosaji....hebu kua kidogo na uwe responsible kwa matendo yako
Amtaman umzin afu useme kakutega? Aaah hii mibaba ya ckuhizi inakera...inawaza mbunye tu
And then uko hapa kuusema ufuska wako na unataka ushauri
Unadiriki kusema unampenda mkeo na familia yako
je huo ndio upendo kwa familia yako na mke wako kuchepuka kwenda kulala na house gal na hapa unamsifia kuw ani mzuri
basi kujiona wewe ni rijali zaidi mwache mkeo umuoe huyo house gal ambaye umemuona ni mzuri kupita mkeo mpaka ukamvulia boxer yako ukatembea nae
Then unaomba ushauri wa nini hasa tukuambie uendelee kutembea nae au tukuambie umwambie mkeo au tukuambie umfukuze kazi amwambie mkeo
Mibaba mingine bhana hovyo kabisa inakuaje unazoena na h/girl hadi unamlala?
Wakati huu unapofeel guilt ndio hasa wakati wa kumfukuza, ukisubiri gari la kawaida likipita wewe na HG mtakuwa abiria wa kwanza kuingia...Usishangae baba mzima umeshaanza kuchimbwa biti na HG...Ukimwaga mboga nae anamwaga ugali.....Yaani tangu siku uliyomwonyesha nyeti zako ulijitia aibu za kuonwa uchi na mwanao wa kumzaa tena binti.Ila umeshafanya kosa dawa ni kuinusuru ndoa yako...Usilogwe kumwambia mkeo kwani kwa kufanya hivyo utalikoroga mazima, kama huwajui wanawake wanavyofunga vibwebwe jaribu urudi kuomba msaada mwingine.
Yale yale tu, watu wanatenda makosa na kuamua kumsingizia shetani. Muoe tu awe mkeo wa pili!
Sometimes stupid questions deserve stupid answers!,umelikoroga kunywa!!!!
Hivi kwa nini Tz bado kuna ukimwi? kama watu wana maadili kiasi hiki....