englibertm
JF-Expert Member
- May 1, 2009
- 9,252
- 6,207
kwani ukikaa kimya utakufa,watu wamefanyamakubwa ya hayo nawekauka na maisha yanaendelea.
ukimwambia mkeo tu imekula
kwako 100000% jaribu uone... Weka distance na huyo binti haiwezekani eti
house girl akupande kichwani bwana,. Tena ungekuwa karibu ngekuchapa
kibao alaah
Hana ushahidi huyo asikutishe. make your decision as a man.
Housegirl wetu kwa kweli alikuwa ni dada mzuri, kwa kazi, malezi ya watoto. Wote katika familia tulimpenda. Siku zinavyokwenda naona anazidisha upendo kwa familia yangu Majuzi kajilengesha hadi nikashindwa kujizuia, nikatembea naye. Nimejisikia vibaya sana, nimeamua kumshawishi mke wangu tumfukuze. Housegirl ameapa tukimfukuza atamweleza mke wangu kila kitu bora nimwache aendelee kuishi nasi. sina amani .Natamani kumweleza mke wangu ukweli. Natamani niikimbie nyumba Ninamwogopa sana mke wangu, namheshimu naona ataniona mtu wa ajabu kweli. sijawahi kufanya kitu cha namna hiyo. Maji yamefika shingoni. Naomba ushauri kwa wazoefu
Vichwa viwili haviwezi fanya kazi kwa wakati m1,ball dinda akri potea!! Sasa kichwa cha chini kimezima ndio cha juu kinafanya kazi kwamba ulikosea!!
Ugolo wa bibi ndio msaada huu anaoutaka kweli?Amekwishasema hana amani na kukiri kujutia makosa yake hivyo kuendelea kumega ni kuzidisha tatizo.usimfukuze huyo binti,na wala usijidanganye kumwambia mkeo! wanawake hawana uvumilivu,wewe ni muoga tu ndio maana unapata hofu, endelea kumega huyo binti na atakua na upendo kwa watoto wako!
Housegirl wetu kwa kweli alikuwa ni dada mzuri, kwa kazi, malezi ya watoto. Wote katika familia tulimpenda. Siku zinavyokwenda naona anazidisha upendo kwa familia yangu Majuzi kajilengesha hadi nikashindwa kujizuia, nikatembea naye. Nimejisikia vibaya sana, nimeamua kumshawishi mke wangu tumfukuze. Housegirl ameapa tukimfukuza atamweleza mke wangu kila kitu bora nimwache aendelee kuishi nasi. sina amani .Natamani kumweleza mke wangu ukweli. Natamani niikimbie nyumba Ninamwogopa sana mke wangu, namheshimu naona ataniona mtu wa ajabu kweli. sijawahi kufanya kitu cha namna hiyo. Maji yamefika shingoni. Naomba ushauri kwa wazoefu
Kwanza yafaa ubadili kabisa mfumo wa maisha katika familia yako na mabadiliko haya yaambatane na wewe kubadilika kabisa na kuwa mtu ambaye si rahisi kushawishika tena kwa huyo bi dada.Housegirl wetu kwa kweli alikuwa ni dada mzuri, kwa kazi, malezi ya watoto. Wote katika familia tulimpenda. Siku zinavyokwenda naona anazidisha upendo kwa familia yangu Majuzi kajilengesha hadi nikashindwa kujizuia, nikatembea naye. Nimejisikia vibaya sana, nimeamua kumshawishi mke wangu tumfukuze. Housegirl ameapa tukimfukuza atamweleza mke wangu kila kitu bora nimwache aendelee kuishi nasi. sina amani .Natamani kumweleza mke wangu ukweli. Natamani niikimbie nyumba Ninamwogopa sana mke wangu, namheshimu naona ataniona mtu wa ajabu kweli. sijawahi kufanya kitu cha namna hiyo. Maji yamefika shingoni. Naomba ushauri kwa wazoefu