Quetzal
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 6,331
- 10,751
Habari,
Nimekuwa katika weight loss journey kwa muda kidogo... Mwaka 2018 nlikua na kilo 64 lakini Kuna Dawa nilitumia nikaongezka mpaka kilo 95.
Sasa nimejaribu kupungua nasaivi nakilo 79, mainly nlikua najog Kama KM 3 nakupunguza portion ya chakula
Mwezi mmoja uliopita wakati najog Goti Kama lilishtuka hivi. Hivyo nikawa napata Hali ya kuwa uncomfortable kwenye Hilo Goti...nikapumzika kujog.. ila juzi nimeanza Tena mazoezi ya YouTube nilipomaliza magoti yakawa yanauma japo maumivu sio makali Sana naweza kutembea na kufanya shughuli Ila naogopa Sasa kuendelea na mazoezi.
Je, shida itakuwa Nini Nini...naombeni ushauri wenu.
Miaka 27 Ke.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuwa katika weight loss journey kwa muda kidogo... Mwaka 2018 nlikua na kilo 64 lakini Kuna Dawa nilitumia nikaongezka mpaka kilo 95.
Sasa nimejaribu kupungua nasaivi nakilo 79, mainly nlikua najog Kama KM 3 nakupunguza portion ya chakula
Mwezi mmoja uliopita wakati najog Goti Kama lilishtuka hivi. Hivyo nikawa napata Hali ya kuwa uncomfortable kwenye Hilo Goti...nikapumzika kujog.. ila juzi nimeanza Tena mazoezi ya YouTube nilipomaliza magoti yakawa yanauma japo maumivu sio makali Sana naweza kutembea na kufanya shughuli Ila naogopa Sasa kuendelea na mazoezi.
Je, shida itakuwa Nini Nini...naombeni ushauri wenu.
Miaka 27 Ke.
Sent using Jamii Forums mobile app