- Thread starter
- #61
kaz kwel kwelNakubaliana na hii ya kuchen sensor kama ilivyo namba moja hapa hini:-View attachment 1285102
kaz kwel kwelNakubaliana na hii ya kuchen sensor kama ilivyo namba moja hapa hini:-View attachment 1285102
Huna gari mkuu tushakushtukiaSawa mkuu,Ila aliyeomba hakuspecify kwamba asaidiwe ushauri na wenye magari tuu,Ila humu J.f sijawahi kutana na kilaza wa aina yako yaani we ni wa hovyo sijapata ona!! Swala la mimi kuwa na gari au kutokuwa nalo linahusiana nini na huu uzi? Una uhakika gani,hata nikiwa na gari wewe litakusaidia nini wakati hatukuwahi hata kuonana hatujuani Mwisho tu nikwambie Gari ninalo ila halipo kwa Ajili ya vilaza km weweeeee!
Nakubaliana na hii ya kuchen sensor kama ilivyo namba moja hapa hini:-View attachment 1285102
Da, pole sana mkuu...ningekuwa bongo ningekuchekia mwenyewe bila malipo.nmeenda hii garage bhana inaitwa SAINT PARTS
Nmeenda pale naona fund ananambia eti tatzo nimeweka plug zisizo zake duuh yaan nae anabahatisha tu nauliza je mna machne yyte ya kupima tatzo?? eg compression,leakage , anajikanyaga tu
Umri wa gari siyo tatizo, kuna vitu vidogo vidogo ukivifanyia ukarabati gari inarudi kwenye kiwango cha upya.Hatari sana...
Gari ina miaka 23 bado unataka ile mafuta kama mpya...
Da, pole sana mkuu...ningekuwa bongo ningekuchekia mwenyewe bila malipo.
Watu wanaoongelea mambo ya emission (fuel, catalytic converter, plenum, exhaust, oxygen sensor, ignition coils n.k) watakuchanganya kwa kuwa mambo haya yote yanaweza sababishwa na mechanical issue ya engine. Compression test ni rahisi na ita "rule out" tatizo lako kwa gharama ndogo.
kwa umri wa gari yako inawezakana kabisa kuwa timing belt imelegea (wear and tear) na hivyo belt kuruka jino moja la pulley. Hii husababisha gari kukosa nguvu kwa kuwa engine inakuwa haiko synchronized na hivyo kuonekana kama inatatizo la emission. Ukifanya compression test utajuwa kiini cha tatizo lako (kama engine iko sealed vizuri au kama kuna mahali inapoteza nguvu).
Umri wa gari siyo tatizo, kuna vitu vidogo vidogo ukivifanyia ukarabati gari inarudi kwenye kiwango cha upya.
Ulaji wake wa mafuta kwenye mizunguko ya kawaida hauna tofauti na gari yangu yenye cc 2,500!Nina vitz ya mwaka 2000 yenye cc 990 nirichukua kwa mtu ilikua inatumia lita 1 ya mafuta kwa km 5 nikapeleka kwa fundi gasket ilikua inavujisha oil inapeleka kwenye plug nikaweka mpya sasa hivi inakula lita 1 kwa km 8. Wakati kwa watu wengine wenye vitz kama yangu ni 1lita kwa km 12 kwenda juu hapo tatizo litakua ni nn? Ukizingatia gari bado ni mpya ina mwaka 1 tangu iingia Tanzania.
Kwani tatzo kutokua nalo!? Je km ni fundi. Au yy ndio kaandikiwa kutokuwa na gar milele. Au ww umezaliwa nalo. Acha ungeseMkuu tushajua huna gari ila umecopy na kupaste wazo la mwenzako hapo juu hiindio jf kila mtu Ana gari na kaenda ulaya
Anza kuizoesha supu taratibu..
Mwisho wa siku utaona inakunywa adi mbege
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiona unauliza sana kuhusu kula mafuta ujue muda wa kumiliki gari ulikuwa bado, umeforce tu! Uza nunua pikipiki.. Lita 1 km 70
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushauri mbovu sana huu. Imeandikwa, "mpende jirani yako kama unavyojipenda" kuhamishia matatizo kwa mwingine sio sawa, labda umfahamishe ili ainunue kwa kufahamu. Kuna watu wanatabia ya kupiga rangi gari yenye shida kubwa sana na kuiuza kwa wengine.Kwa uzoefu gari nyingi hasa ambazo sio 4wd,hasa gari ndogo zikishavuka mileage ya 150,000 huwa zinasumbua sasa,sijajua ya kwako ina shida gani maana maelezo yote yaliotelewa hapo juu ili kukusaidia yanagharimu hela nyingi na si lazima kila garama utakayoingia itakuwa tiba,kwahiyo mkuu kwa ushauri,kama hiyo gari umeipenda sana nunua engine nyingine or else iuze ili uongeze hela kidogo ununue nyingine...
Sehem ganiKuna garage moja ya wajapan ipo maeneo ya shaurimoyo ilala hao jamaa wanaeza kumsaidia coz wamejipanga na wako vzr sana