Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hakuna ktu nimefanya zaid ya kupeleka kwa fund na akanibadilishia hizo oil plugs n.kUmejaribu Diagnosis?
Itakua inatumia OBD1 hio.Umejaribu Diagnosis?
Itakua inatumia OBD1 hio.
Ya kitambo kidogo hio machine mkuu.oh ya zamani eeh. Maana kuanzia 98 nadhani ni OBD2
hii gari imenishangaza sanaMkuu bado nahisi kama umekosea kuandika!! Ni kitu ambacho sio rahis aisee gari kula mafuta hvo. Haiwezekani fatilia leakage aisee.
sawaBadili Oxygen sensor km anavyoeleza jamaa hapo juu.
sawa sawa
Umejaribu Diagnosis?
Kama umebadilisha plugs na tatizo linaendelea badilisha plug wires na ka-test injectors kama zinafanya kazi..
Nkaenda kwa fundi kanambia niifanyie service,mwaga oil na nibadilishe plugs nkasema ok. lakn nmerud barabaran ulaji ni ule ule.
Aisee! Hapo jamaa wamekufunga kamba, nakushauri uende kabadilishe fuel filter..
Kuna baadhi ya madereva nimewauliza wakanambia fuel tank ya carina n kubwa sana yaan ukiweka mafuta yanasambaa hvyo niikate
Kwa kuwa gari yako ni ya zamani nenda kafanye compression test kuangalia kama engine ina compression yakutosha. kama engine haiko sealed vizuri (kutokana na umri wake) itakuwa na compression ndogo na hivyo kuifanya ile mafuta mengi..
sasa ndugu zangun naombeni ushauri wenu namna ya kutatua hii changamoto
au kama kuna fundi anayeweza kutatua hii changamoto walau gari iwe inaenda 11km/litre tuwasiliane kwa 0768811999. Fundi awe hapa hapa Dar.