Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 10,129
- 35,143
From Japan (used) mpaka mkononi unavuta Probox (succeed) kwa 13-14milioni.Dar Pro Box mpya bei gani,napata mgawo wa mamilioni hivi karibuni
Hicho ni chuma cha kazi.
From Japan (used) mpaka mkononi unavuta Probox (succeed) kwa 13-14milioni.Dar Pro Box mpya bei gani,napata mgawo wa mamilioni hivi karibuni
Naweza kusafiri nayo Tabora to Moshi?From Japan (used) mpaka mkononi unavuta Probox (succeed) kwa 13-14milioni.
Hicho ni chuma cha kazi.
Bila tatizo lolote lile.Naweza kusafiri nayo Tabora to Moshi?
Dar Pro Box mpya bei gani,napata mgawo wa mamilioni hivi karibuni
OkBila tatizo lolote lile.
Ni gari imara na himilivu kwa safari ndefu, mijini na rough road tena ikiwa na mizigo.
Sina mashaka yoyote na uwezo wake.
Dah probox, ractis bora kidogooooo hiyo volts. Ila hapo hamna gari bali vyote vienda mbele!Basi mimi siielewagi sura yake
Angalau ila aiweke alama mana ukipaki sehemu zipo kumi nyuma yake!Nunua premio
Kwa sisi tulio na miaka zaidi ya arobaini inatufaa sana maana Mambo ya luxury tumewaachia watoto wetuProbox nzuri sana kwa fuel consumption, ukiichoka pia huchelewi kupata mteja na haishuki saaana bei.....ila kuiendesha kiukweli hiajakaa kiluxury.....
Naomba kujua inatumia mafuta kiasi gani (kilometres/litre)
Voltz inatumia mafuta kiasi gani? Kilometres/litreNakushauri kwa kuzingatia jinsia;
Kama wewe ni mwanaume, chukua Voltz
Kama ni mwanamke, chukua Ractis, jitahidi iwe CC 1490
Kuagiza Japan au kununua ya mkononi, nichek 0719972458
Mshindi anatokea nje ya washindaniNi bongo pekee unaweza kuweka mpambano wa ractis na volts lakin ikashinda probox
Anahangaika tu achukue SPACIO new model atakuja kunishukuruProbox nzuri sana kwa fuel consumption, ukiichoka pia huchelewi kupata mteja na haishuki saaana bei.....ila kuiendesha kiukweli hiajakaa kiluxury.....
Hahahaaaaa hapo ulipo huna gari wala pikipiki hata baiskeli huna ila ulicho nacho unajua kuponda sana.Angalau ila aiweke alama mana ukipaki sehemu zipo kumi nyuma yake!
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah mkuu unanijua balaa. Ila gari yangu ya kwanza BMW 3 series tena miaka kumi nyuma. Ya pili legacy b4 ila kwa sasa kweli sina gari mkuu.Hahahaaaaa hapo ulipo huna gari wala pikipiki hata baiskeli huna ila ulicho nacho unajua kuponda sana.
VoltzHoly Man pita hapa