Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nahitaji faida ya haraka kama miezi kadhaa
Wazo lako ni zuri,
Mimi nitakushauri kwa namna hii.
Kwa hio laki tano yako,ni rahisi kuipandisha ukijitoa wewe mwenyewe na sio kutegemea mtu/watu.
Laki mbili unusu inafaa kuwekeza katika ufugaji wa Kuku wa kienyeji.
Nunua kuku ishirini na tano,makoo(20) jogoo(5)Kwa bei ya shilingi 10,000.
Hakikisha kuku wako unawanunua maeneo mbali na mji na usinunue kuku wa kufuga Sokoni,
Na hao kuku akikisha ni kuku wakubwa yaani ukikaa nao muda kidogo wataanza kutaga,
Na usimamizi wa kuku wa kienyeji hauna gharama kama kuku wa kisasa.
wana jf naomba mawazo yenu nina laki tano najikanganya kati ya kufuga kuku wa kienyeji na kulima viazi mviringo, au ninunue shamba nipande miti. nashindwa kuchagua,msaada wenu ni muhim sana tafadhali.
Mkuu nakushauri ni kheri ufugaji, kilimo kwa sasa ni kigumu sana. Tanzania mvua zimekuwa ni za kubahatisha sana, nimkheri ufugaji, juhudi zako ndio mafanikio yako. Kilimo kigumu sana, risk yake ni kubwa