Naomba unisamehe

Mmwaminifu

JF-Expert Member
Oct 15, 2010
1,129
302
Heshima zenu wakuu. Hope mko po. Kuna kawimbo fulani nausaka sasa nimesahau jina la aliyeimba. Some lines in it zinasema "naomba unisamehe, kosa nililofanya. Hakika mi binadamu, kokosea nimeumbiwa". Anayefahamu anitajie walau jina la mwimbaji. Sorry kama nimeweka ktk jukwaa tofauti. Thanks in advance wakuu.
 
Wewe inaelekea ulikuwa unaongoza sana kwa kuandika nyimbo nyuma ya madaftari!
Heheheee ni kweli aisee Kipipi yan kuna nyimbo nazikumbuka tangu nikiwa shule enzi zetu na nilikuwa na daftali la nyimbo kabisaaaaa
 
Last edited by a moderator:
pole ikishindikana tupa kuleeee!!!! yan usumbuke bana, maisha yenyewe stress mtupu, kazi / biashara ndo usiseme afu bado na mtu mzima mwenye akili timamu aku-stress lol!!!!!
Hivi hujanimiss charminglady ?
Nilishakuambia achana na C6 unadengua shauri yako utaoteza bahati ooooohh


BTW Nimekumiss shemito!
Salamu zangu kwa Elizabeth Dominic
 
Last edited by a moderator:
pole ikishindikana tupa kuleeee!!!! yan usumbuke bana, maisha yenyewe stress mtupu, kazi / biashara ndo usiseme afu bado na mtu mzima mwenye akili timamu aku-stress lol!!!!!

I promise to work on this one. I'll be back with the results.
 
Back
Top Bottom